We boya kweli,
Mimi nime.tetea hapo??
Halafu wewe kakudhurumu Nini Hadi umlalamikie??
Waliodhurumiwa wamelalamika kivyao , Ni haki Yao !
Namimi ambaye sikudhurumiwa kiwanja utanilazimishaje na Mimi niwe sehemu ya wanaolalamika??
Kama wao walitendewa vibaya wanalalamika , Ni haki Yao,
Hata...
Mimi kwa kipindi hicho na sikuwa na pesa siwezi kumsema vibaya kikubwa ni kumulmbea Mungu amfanyie wepesi.
Na Sina hakika kama katapeli kweli au laa maana MFUMO wa mahakama wenye kutoa haki haujamtangaza rasmi kuwa tapeli.
Ukifuata wanasiasa wengi hupenda kujitengenezea umaarufu bila kuja...
Ila huyu bwana ana mazuri yake pia.
Binafsi sikuwahi kumjua Hadi pale nilipokutana Hospital usiku saa sita nikiwa na mtoto wangu ambae alizidiwa GHAFLA nyumbani na kumpeleka hapo hospital nikitegemea Bima mfukoni shi. Mia mbovu Sina🤣
Basi mtoto alipimwa akawa amelala kwa benchi.
Ndipo yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.