Si kichapo tu, hata mtu akiwa amejeruhiwa kwa ajali ya gari au kingine, akiomba maji usimpe. Atakufa. Kiu ya ghafla inayohusiana na mtu kuumia ghafla inasababisha mwili uingie kwenye relaxation mode, ambayo inaua mtu. Mwili unatakiwa kuwa katika agitated mode wakati umeumia sana. Ni sawa na mtu...
Polisi wengi Tanzania wanapotaka kuficha uovu waliofanya wanatoa maelezo kama wana mtindio wa ubongo. Yaleyale ya tulipiga risasi hewani moja ikampata huyu dada alikuwa kwenye basi. Kulikuwa na vita kali ya kurushiana risasi na majambazi tukawaua wote hakuna Polisi alieuwawa wala kujeruhiwa...
Napiga simu Polisi waje, hawaji. Napiga simu Polisi waje, hawaji.
Mchungaji, nakushauri siku nyingine ukitaka Polisi waje kwa spidi ya ndege waambie Chadema wamekusanyika kanisani kufanya mkutano bila kibali!
Sawa,. Na iwe sawa pia mwanamke asimsamehe mwanaume aliemfumania, maana anaweza akawa amekutana na mchepuko mtamu kuliko yeye ikawa kwisha habari yake.
Labda tatizo ni sisi wananchi. Hivi kweli hakuna tunaloweza kufanya kwa uharamia huu unaofanywa na baadhi ya askari wa jeshi la Polisi? Mie kwa kweli, japo JF wanasema ni baadhi ya Polisi, naona ni wote tu,kwa sababu IGP anaona na kuyasikia lakini yupo tu hachukui hatua, kazi yake kubwa...
Mkuu, kunywa maji ya DAWASA bila kuyachemsha ni sawa na ku-commit suicide. Kuna wengine tuliacha hata hiyo kuchemsha tukifikiria wadudu waliomo ndani ya hayo maji ambao tunawameza hata kama wamekufa! Wazia kumeza hawa jamaa
Lakini Watanzania tulivyo mazuzu, utakuta hao hao wanaotudanganya kuhusu umeme, ndio hata kesho tunawapigia kura wawe viongozi wetu, halafu tunaendelea kulalamika wanapotudanganya kuhusu umeme. Huu ni umbuzi.
Nitashangaa sana kama Samia alakaa kimya kuhusu hili. Wauza mkaa ni mojawapo ya watu wanaohangaika na maisha magumu ya Tanzania, hawauzi mkaa kwa kuwa wamechagua kuuza mkaa dhidi ya kazi nyingine. Polisi waliohusika na hili wanapaswa kuwekwa ndani wote. Risasi kwa ajili ya mkaa tu?
Hii sio taarifa ya tukio bali ni tathmini ya utendaji wa jeshi letu la Polisi katika kukiuka haki za wananchi wa Tanzania, binadamu walioapa kuwalinda.
Hivi karibuni huko Kibaha kumetokea tukio la mtu kuuwawa kwa risasi, na mwili wake "kuokotwa" na wananchi. Ndugu wa mtu alieuwawa wanasema mtu...
Nimeona kwamba Katiba ina mapungufu sana. Ina fanya assumption kwamba unaweza kuwa na Bunge ambalo lina Raisi ambaye anatoka cahama ambacho hakina majority bungeni.
Suala la kumuwajibisha raisi anaekiuka matiba lilipasa liwekwe kwenye mhimili wa mahakama, sio bunge ambapo ni obvious wabunge wa...
Sawa nakubali. Nimeitafuta nikaipata;
46A.-(1) Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo...
Unafikiri unamjua sana raisi wako eeh? Saa ya BVLGARI ya Tshs 112m ni kushow off tu, upende usipende. Hata asingevaa saa hakuna kitu kingeonekana kutokuwa sawa. Raisi hahitajikuvaa saa ya Tshs 112m, unless anataka ku-show off.
Usimwonee Mkuu. Kusoma sheria huhitaji kufaulu hesabu. Wanasheria wengi wazuri sana walipata F ya hesabu O-Level, kama vile mainjinia wengi wazuri sana walipata F ya English O-level. You cant excel in everything. Messi hawezi kucheza basketball.
Mie siwezi kumwonea wivu Raisi Samia kuvaa saa ya BVLGARI ya Tshs 112m, sana sana namshangaa na kujiuliza juu ya namna yake ya common sense. Hata ningekuwa na hela kuliko Samia, nisingenunua saa ya Tshs 112m.
Unajua unapaswa uelewe kuwa kununua saa ya Tshs 112m ni kuwa show off tu, kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.