Huyu ni Mwanamke ila ana Hormone za kiume ndio maana ameota ndevu si Mwanamme huyu jamani. Mkuu MziziMkavu unawachanganya watu huyu ni Mwanamke mwenye ndevu za kiume jamani.
MAANA YA NDEVU KWA MWANAMKE:
Kuwa na ndevu kwa mwanamke ni dalili ya kupata fedha au mali au kupata heshima na...
Mkuu bandu bandu Hakuachanganyi Mkuu MziziMkavu mimi mwenyewe nimenunuwa hizi dawa Dollar 329 hizo dollar 29 pesa
unakatwa Bank Ya Western Union unavyomtumia pesa. Na unasema maneno ya uongo hakuna Dawa za bei ya dollar
60 hiyo dawa itakuwa ni Dawa ni Feki sio Orignall kuna watu...
Kwani wewe unavyofikiria uzuri wa mwanamke upo wapi? Uso wake hajichubuwi ndio maana akawa mzuri ingelikuwa anajichubuwa asingelikuwa si mzuri acha wivu wako usiokuwa na maana mpe sifa zake Mama Michele Mzuri Nature.
Mama Obama ana uzuri wa kuzaliwa hajichubuwi uso kama hao wanawake zenu wa kibongo wanaojichubuwa sura zao mkuu unataka aweje huyo Mama Obama ni mrembo Nature.
Tangu kuingia kwa dawa za kuvubaza VVU (ARVs) kumeripotiwa kuwepo kwa mafanikio makubwa katika kuboresha afya za watu wanaoishi na VVU kwa kusaidia kupunguza idadi ya VVU na kuongeza idadi ya
chembe nyeupe za CD4 zinazosaidia mwili kujilinda na maradhi. Lakini ARVs ni nini? Kuna makundi...
Siku hizi watu wengi wanapenda kuonekana vijana, kuanzia kwa watu mashuhuri hadi kwa watu wasio mashuhuri, hakuna mtu
anayetaka kuzeeka. Tafiti zinaonesha kuwa kuna baadhi ya matendo ambayo waweza kufanya au kuyaepuka huweza kukusaidia kupunguza au kukufanya uonekana mzee kabla ya muda...
Dawa ya kutibu Stress Jaribu hizi njia huenda hiyo Stress yako ikaondoka.
1. Jaribu kuwa kimya nyumbani au chumbani,
2. Koga maji ya umoto moto au vuguvugu kadri upendavyo au kama una mke/mume mwambie akukande kande na maji mgongoni.
3.Ukimaliza oga jifute mwili kisha paka lotion ya lavender...
Mkuu.@Njaa Nenda hopitali kuu ya Muhimbili hapo Mjini Dar kama upo hapo.La kama haupo hapo nenda hospitali kubwa unapoishi wewe usidharau hayo matatizo yasije baadae yakawa ni makubwa uwe muangalifu.
Hujatuambia wewe kwanza ni Mwanamme au Mwanamke? mbona unatuchanganya? Nijuavyo mimi kuhusu ( Chango la tumbo ni ugonjwa wa wanawake) sasa wewe ni
Mwanamke? Kwa wanaume wanapata ugonjwa wa ngiri sio chango la tumbo. Hebu fuata ushauri wa mkuu
MziziMkavu hapo chini utafanikiwa.Ukiwa na ngiri...
Umefanikiwa kwa kuweka habari yako hujafanikiwa kwakupunguza uzito wewe.
Anasema maneno ya uongo hajafanikiwa kabisa njia za kupunguza uzito hebu tembelea hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/345085-good-news-kwa-wale-wenye-kutaka-kupunguza-uzito-wa-mwili-na-unene-na-mafuta-mwilini.html
Tatizo lako sio kubwa kwani unauzoefu na unajua kabisa ufanyaji gani ambao huwa au ulikuwa unakusababishia kilele. Suala muhimu hapo ni kuwa wazi nakumuambia mpenzi wako namna gani unataka akufanye na wewe kujituma.cc.@kipepe-
Bibie Howt Lady Pole sana jaribu kumtumia dr.MziziMkavu Email baru aya pepe anaweza kukusaidia hapa hutoweza pata msaada huo ndio ushauri wangu Email ya Dr MziziMkavu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.