Maishani ni jambo jepesi sana kukata tamaa tena endapo umeshajaribu jambo fulani mara nyingi na likaleta matokeo hasi. Mara nyingi tunakumbwa na hisia za kuliacha jambo hilo bila kutafuta mbadala au njia ya kusahihisha makwazo yanayotuzuia kufikia malengo yetu. Hapa nazungumzia vitu...
Kwa namna moja au nyingine najua kuna mamilioni ya watanzania walikua wakingoja mtanange wa Genk ndani ya UEFA CL kumuona champion boy Mbwana Samatta.. Kama miongoni mwa watanzania basi natumia fursa hii kumpongeza champion boy 255 kwa kuipeperusha bendara ya Tanzania vyema, napata faraja sana...
unakuta kijana ana akaunti kumi kwenye betting company tofauti tofauti... madhara yatokanayo na kubet ni makubwa sana.. kubet kuna addiction kama madawa ya kulevya.. kubet kunapunguza sana uwezo wa kufikiria maisha nje ya kamari... chances kubwa kama kampuni za kubet zingekua hazipati faidi leo...
Nimefanya tafiti ya muda mfupi nimegundua watu tulio wengi pindi tunapopata ajira ya kwanza au ajira kwa ujumla kuna namna tunaridhika sana na mazingira ya ajira hiyo na kujifunga kutafuta fursa nyingine za kufanya tukue kiajira "career development". Mfano mdogo tuu, mazingira ya kazi, marafiki...
Wana jf nashukuru sana kwa mawazo, ushauri, sala, majadiliano mbalimbali kuhusu ajira, nisipo shukuru nitakuwa mchoyo wa fadhila, kwa sasa nimepata kitengo, naomba muuendelee na moyo huo huo wa kusaidiana.
Ningependa kuuliza kama kuna mtu yoyote mwenye kujua updates zozote kuhusu hawa jamaa, maana interview ilifanyika toka mwez wa saba na wa nane mwanzoni, majibu ya wote tuliofanya nao naona yameonyeshwa 23-aug lakin ya ssra naona kama hayapo, vipi ni kwamba yame sahaulika au ndo kuna wenzetu wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.