Huo ndio urasimu unaowalinda watumishi wasiozimudu kazi walizopewa. Mtaalamu akiifanya kazi yake inavyopaswa hakuna mwanasiasa anayeweza kumyumbisha. Engineer anashindwa kueleza majukumu yake kwa lugha rahisi.. halafu tumlaumu Makonda?
Paschal umefanya kazi Serikalini na unajua jinsi watumishi wanavyofanya kazi kimazoea na kufunika uzembe.
Makonda yuko sahihi kwa staili hii ya kukabili uzembe kazini, unachofanya hapa ni kujaribu kulinda legacy ya uzembe wa kitaasisi, kitu ambacho CCM itakifanya muda si mrefu.
Acha Makonda...
Matumizi ya maji na sabuni yamechangia sana kupungua kwa funza ingawa bado wapo sehemu zilizosahauliwa, zisizo na lami. Funza chawa na kunguni ni kielelezo cha uchafu wa mwili na kutokujali kanuni za afya.
Naamka saa kumi na mbili asubuhi, naangalia eneo langu lote kama kuna kilichojiri.
Nawasiliana na muumba wangu kwa kutafakari siku iliyopita na kushukuru au kuomba msamaha pale nilipokengeuka.
Nafanya mazoezi mepesi kisha usafi wa kinywa na mwili. Ratiba hii inafuatiwa na kufungua kinywa kwa...
Serikali imepanga kupokea ndege nyingine ya Boeing 787-8 ya nini wakati moja tu kati ya sampuli hiyo ndio inayofanya kazi ya kwenda China na India?
Boeing 787-8 (5H-TCJ) imekwama Kuala Lumpur Malaysia tangu mwaka jana mwezi wa kumi.
Hizi ndege huenda sio mpya, zinakarabatiwa kuu kuu na kuziuza...
Watu waliona na akili na wenye busara wakijitenga na kutoshiriki kufanya siasa, wasio na akili au hata busara watachukua nafasi. watu hawa wakishika mpini, watakacho panga au kuamua kitakuwa.... Ndio hali tuliyoifikia kwenye utawala na uongozi wa nchi hii. :oops:
Kuna mwaka niliwahi kushawishiwa na mdau wangu ninunue eneo niweke mjengo. Picha hii inanikumbusha eneo nililoonyeshwa Unga Limited. Roho ilisita na nawapa heko wote wanaoweza kuishi maeneo kama hayo hapo hata kama ni karibu na mjini kati. 🥴
Mkuu, cheo cha waziri mkuu kwa muundo tulionao hakijawahi kumnyoosha mtu zaidi ya kumtambua mtu kwa ukali au upole wake.
Tutengeneze katiba mpya itakayokuja kuondoa mapungufu yaliyopo sasa...aidha tujenge taasisi imara zenye kuzingatia sheria na kanuni zilizo wazi.
Nadhani inahitajika tume ya kuchunguza chanzo cha kifo cha Rais John Pombe Magufuli akiwa madarakani. Ifahamike tu kama tulichagua Rais mgonjwa mgonjwa bila kujua kuwa asingevuka kipindi chake cha pili wakati mengine wakijua kuwa hatavuka. 🧐 🧐
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.