ukizaliwa katika familia na kukuta wazazi wako wanafanya kazi za kitumwa kwako utaona wako sahihi maana ni maisha ulyowakuta wakiishi
akija mtu wa nje na kukwambia ninyi mnafanya kazi za kitumwa lazima ubishi........ mtu mbishi hata awekwe kwenye chupa lazima anyooshe kidole
niliyepost hapo najua nini kinaendelea. ingia ndani ya website ya nec ID 19272313 haina mwenye ID 19272312 ina mwenyewe
hebu ingia kwenye website ya nec uingize hizo namba then uniambie. nakusubiri nina dk 15 kuwa hapa janvini
ndo maana mnaambiwa mrinde kura mkiondoa tu.........
hilo ni kwa mwanza
kila kituo kina majina 100 hewa, na jumla ya vituo ni 53,000 nchi zima zidisha hapo uone ccm wana kura ngapi ambzo ni hewa!!
msiwe wabishi na kuanza kupayuka ovyo, hii barua ni ya kweli mimi nawambia
hivi nyinyi watu ni lini mtatambua kuwa kuna mipango mibovu ndani ya ccm dhidi ya uchaguzi wa mwaka huu
hata jambo la msingi kama hili na tena liko wazi bado mnatia question mark?
tuwambie vipi ili muelewe?
simu zote za mkuu wa mkoa wa mbeya, kamanda wa polis wa mkoa mkuu wa wilaya tunazimonita hapa. sim zinazoingia na kutoka na sms zote zinapitia hapa na tunapata kila kitu.
mkuu wa mkoa ameelekezwa asiingilie jambo hili maana amepigiwa simu na kinana 25 min zimepita kuwa afanye juu chini gari...
polisi hawawezi kufanya chochote kuna vijana wazalendo toka TISS wako pale na ninapata taarifa ya kile kinachijiri hapo.
kwa sasa bado wanakagua na kuna mwenzangu soon atanitumia hiyo karatasi then nitaiweka hapa.
wale vijana wa IT ni kweli walifanikiwa ku-access remotely database server kwani walipata public ip-address ambayo ni 80.74.107.38 lakini tumefanikiwa kuzuia hilo lisienedelee hapo jana na sasa hawaweze kufika kule kwenye server
niko ndani ya TISS, narudia niko ndani ya TISS hayo majina ni sahihi na kuna watu wawili huyu kikula na nzowa tunawatafutia dawa.wameikumbatia ccm...
tayari nimefanikiwa kupata karatasi feki za kupigia kura nitaziweka hapa ili umma ujue nini kinaendelea.
habari za siku wana jamvi?
napenda kuwambia kuwa mimi ni mmoja wa watu wanaompenda dk slaa awe Rais wa nchi hii.
naomba mniruhusu niwaletee taarifa za siri na za ndani kabisa juu mipango inayopangwa na kina kinana na kundi lake + TISS dhid ya dr slaa.
taarifa nikayayoleta itahusu:
mikoa...
we pandikizi la ccm? na wewe hapo huna kitu zaid ya kutumikatu
na utatumika sana mwaka huu. mgombea wenu ni mpopompo alipokuwa anasain ile sheria alizani haimlengi yeye?
tatizo hasomi bali anasaini tu. mtajibeba mwaka huu
ni kweli mkuu. umenena vema hakuna watu wanafiki kama wasomi wanchi hii, hata humu jf ilipotangazwa kuwa dr slaa ndo mgombea,
kuna watu walikuwa wanampongeza then papo hapo wanasema haweze kushinda--
watu wa vijijini wako siriazi sana na ndio maana wabunge wengi wa upinzani wanatokea huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.