Kichwa cha habari chajieleza!Mwenye kuujua Ninaomba anijuze ni ugonjwa gani na unatibiwaje? Nimeshatumia dawa nyingi zote nikishauriwa na "wataalamu"!! Nina imani
JF ni baba wa wataalamu!
Karibuni mnishauri! Nimeambatanisha na picha.
Huyo dharau alianza muda mrefu!Hata kifo cha kaka,amechangia sana!Yaani kupitia matatizo ya kaka,sasa ninaamini kuwa wanaume kwa sasa wanaongoza kunyanyaswa kijinsia na wake zao!
Habari wanaJF!
Nina mtoto wa miaka miwili na nusu ambaye analelewa na mama yake baada ya mkubwa wangu kufariki Ila pesa ya matumizi ninatoa Mimi kwa niaba ya marehemu.
Mwanzoni tulienda vizuri lakini shemeji kabadilika ghafla. Leo hii kila pesa ninayompa ya kumtunza huyo mtoto anadai haitoshi...
Ushauri kwa ofisi ya Tanesco Manispaa ya MPANDA mkoani Katavi!
Ni wiki sasa kumekuwa na tatizo mnaloliita la mtandao na hivyo kushindwa kutoa control numbers na hivyo kukwamisha zoezi zima la ulipiaji wa gharama za kuwekewa umeme n.k!!!Ushauri wangu kuliko kusumbua watu ambao wanatoka mbali...
Naomba kuuliza mkuu wangu,hivi vitu ulivyonishauri natakiwa nitafute vyote na kuvitumia kwa wakati mmoja au naweza anza na kimoja nikatumia labda kwa mwezi mzima ndipo nianze na na aina nyingine?
Kwa miezi sasa nimekuwa kila nikifungua e mail yangu nakutana na email za watu wakiniomba kazi wakiwa wameambatanisha na CV zao!Nadhani labda kuna watu wasiowaadilifu wametumia email address yangu kwenye matangazo yao ya kazi!Ninaomba mwenye ujuzi wa namna ya kufanya anijuze ili watu wasiendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.