Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo;
1.Ni kozi ngapi zinafundishwa
2.Utaratibu wa malipo ya ada na fedha ya kujikimu ukoje
3.Mafunzo haya ni ya muda gani darasani na field ni muda gani...
Nimetumia dawa nyingi sasa naona sina jinsi! Mzizi mkavu aliwahi kusema humu kwamba ukinywa mkojo wako mwenyewe mara mbili kwa siku kwa siku7 madonda yanapona!
Nimeanza kunywa mkojo wangu leo nitatoa mrejesho baada ya dozi kuisha! Kwakweli nasumbuka mno.
=====
Nimetumia dawa nyingi sasa naona sina jinsi!
Mzizi mkavu aliwahi kusema humu kwamba ukinywa mkojo wako mwenyewe mara mbili kwa siku kwa siku7 madonda yanapona!
Nimeanza kunywa mkojo wangu leo nitatoa mrejesho baada ya dozi kuisha! Kwakweli nasumbuka mno
Wazee wa mila walitoa data na nilijaribu kuongea na wajane 9 ni watu wazima sasa...ila kwa miaka ya hivi karibuni serikali na makanisa yamepiga marufuku mila hizi hata hivyo bado zinafanyika kwa kificho
Utafiti ulijikita katika sehemu za Ngoma,bwisya,igalla,bukongo,bukanda,namirembe,nkilizya, na nduruma haya ndiyo maeneo niliyopita ...maambukizi ya ukimwi ni makubwa sana kulinganisha na sehemu nyingine mkoa wa mwanza
Nimeeleza utamaduni na mila za wakerewe waliopo kisiwani ukerewe katikati ya ziwa victoria! Sasa promo iko wapi mkuu? Mimi si mwesya wala si mkerewe ila najaribu kueleza tamaduni za wakerewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.