kaka unaishi karne ipi? au unaelimu kiasi gani? Unasound kama bully umfujaji wa wanawake. au wewe ndio wale design ukishaoa you posses your wife like your slave? mkeo afunike hadi macho anapotoka? Huyo ni mkeo si mtumwa wako, anahaki ya kujipamba apendavyo na sio sababu watu wengine...
At last someone is thinking in this blog! Usisikilize wapumbavu wanaokatisha tamaa, jaribu na jaribu tena, cha muhimu kila unapojaribu baada ya matokeo fikiria umejifunza nini na utafanya nini kuboresha ulichokifanya. Tanzania inahitaji watu kama wewe, watu wanaofikiria namna ya kuboresha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.