Anyway sijui mtazamo wa mleta hoja..lakini nachoamini ni kuwa makapi hupitia mchakato au chujio na ni mchakato huo ndio huwa unaleta makapi hayo, ubora wa mchakato hufanya hata ubora wa makapi uwe katika hali bora, na mchakato mzuri utafanya makapi yakose sifa kabisa ya kuwa na kitu muhimu...
Habari ndugu zangu wa jf....
mimi nina swali kuhusu afya yangu....nikiwa kitato cha tano na cha sita miaka kumi iliyopita nilikuwa mwembamba sana kutokana na maisha ya shule lakini nilikuwa na kilo 80,...na baadae nikaenda chuo kikuu nikaishi miaka mitatu na kumaliza na kilo 90, na tangu mwaka...
mkirua...sio kosa kosa .....but thanks for the the courage to air out your thoughts...watu kama ninyi mkikosekana kwenye dunia kama hii hakutakuwa na ukamilifu wa jamii..nakutakia wakati mzuri.....
HELLO TANZANIAN WOMEN
MIMI
NAHITAJI MWANAMKE WA KITANZANIA MWENYE UMRI WA MIAKA 25-30 ILI AWE MKE WANGU, NINA MIAKA 33,...NAISHI DODOMA. MWANAMKE MREFU ASIE MNENE SANA, MWENYE KAZI AU BIASHARA YAKE BINAFSI, NA ANAEHITAJI MWANAUME WA KUISHI NAE NA KUZAA WATOTO WASIOZIDI WATATU, ANAWEZA KUWA MKE...
HELLO'
Naanza kwa sifa, awe na umri usiozidi miaka 30, awe na umbo la kawaida tu but usiwe mnene, pia usiwe na watoto ulikwisha kuzaa.sio mweupe sana ila awe natural....uwe na kazi yoyote tu ili mradi asubuhi wote tunakuwa busy......mi ni mkristo, kwa hiyo kama uko tayari kuslim kwenda kwenye...
ukistaajabu ya lyatonga kaa tayari kusikia ya slaa!...mi nafikiri sio njaa ila anajaribu kuwachanganya zaidi wananchi wa tanzania ili wajue maana nyingine ya upinzani!.....labda ifikie mahala watanzania wengi wakajua upinzani sio maana yake kupinga kila kitu cha chama tawala, na kujumuika na...
natamani uzuri wa nje wa majengo hayo ungekuwa sawa na ubora wa majengo ya chuo kikuu cha dar es salaam!.....kuna siku watu watakumbuka comments yangu hii niliyoiandika leo!.........tuyape miake mitano afu tutasema kuhusu ubora wake!
kaaazi kweli kweli!...infwakitiii mi nimebahatika kuishi kijiji ambapo muheshimiwa malechela amezaliwa na ambapo ni ngome yake katika jimbo la mtera na pia kijana lusinde alipozaliwa!..
...kwa maoni mengi ya wananchi wa jimbo hili wanaonekana kuwa tayari kwa mabadiliko na kumpa kipaumbele...
mimi natamani pia kuliangalia hili kwa jicho kubwa zaidi!...hivi kakobe ni nani katika nchi hii? je yeye ni zaidi ya viongozi wengine wa dini hapa nchini? au je yeye yupo juu ya sheria hapa nchini?ametoa maneno haya "... ni hatari kukatalia utawala ambao hauna hofu ya Mungu kwa kuwa hauwezi...
natamani kutukana pia!...but hivi kwa aakili zao timamu kabisa unamuuita afisa wa police mtu ana miaka 19? haya tujiulize alianza kazi na miaka mingapi? huyu yupo kwenye foolish age na anafanya kazi na watu wazima ambao mda wote wamemzidi convincing power na uwezo wa kila hali!...kumbukeni...
poleni for the sad moment of your lives!....nbut it is too early to convict the house boy as a victim for that inhuman action!...how sure are we that the boy is alive? what if he was taken somewhere and being killed so as to mislead the investigation? lets leave the matter to the police so as...
hata chizi saa nyingine anaweza akaongea kitu ambacho kina mantiki ndani yake...mara zote mrema amekuwa akionekana kama vile ni mtu wa kuropoka na kuharibu misimamo ya vyama na sera zake....hivi karibuni alikuja na la kumsifiua kikwete kuwa ni kiongozi mzuri ila anangushwa na wasaidizi wake..na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.