Mkuu wng hongera na pole na majukumu ansante kwa kuwa kioo cha jamii hp jf Mimi nataka kulima vitunguu maeneo ya kilosa ila Cna mwenyeji km una taarifa zozote Za mashamba mazuri tujulishane nategemea kwenda jtano Pia ni Mara ya 1
Mr qualifier nataka kwenda kulima kilosa sema Cna mwenyeji mwenye naomba uniwezeshe nimpate mwenyeji Pia unipe no ya anaekodisha shamba nataka nifanye kweli
Mkuu umenigusa naomba uniambie nimepata shamba pwani karibu na kibaha militia bagamoyo nami ninapenda sn kilimo je naweza kulima vitunguu.? Maji yapo je ni hatua gn naanza kuchukua na uoteshaji wake unakuaje?
Pia huchukua muda gn hadi kuvunwa? Naombeni msaada kwa Hilo
Jamani naomba ufafanuzi kwa wenye uzoefu na zitto kabwe foundation niliiona huku kwenye jf nikajaza fomu Yao ya kutaka mkopo sasa ninatakiwa nilipe tag 84000nipate mkopo ni kweli? Naomba mnishauri naogopa utapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.