Nakushauri umwone Daktari achukue clinical features za case hiyo halafu watapima maabara,pana magonjwa kama chlamydia infections yaweza kuwa na dalili kama hizo hizo,hata kwenye vipimo saa zingine yanaweza yasibainike,bali madaktari wabobezi kwenye magonjwa hayo huweza kuyatambua kwa dalili...
:angry::angry: HUO NI UTAPELI WA KIFIKRA TU KWA WANANCHI,ANATAKA KUJIFANYA PIA NI MZALENDO SANA NAYE ANAISHI MAISHA YA KAWAIDA ,ANANUNUA VITU MAGENGENI? WAO NAWAENDELEE NA MAISHA YA ANASA KWA AJILI YA KODI ZA WALALAHOI,HUKU WAKIPUUZA VIPAUMBELE VYA MSINGI KABISA KWA AJILI YA KUWAKWAMIA MASKINI...
mzee Shibuda ni double dealer huyo,mzee wa kusoma upepo unaelekea wapi,wapi ulaji uko!naye anaibukia huko huko,so hana jipya,mjanja sana huyo dingi,lakini kwa ajili ya tumbo lake tu,not otherwise.
Suala sio kuwadhibiti kwa ubabe na jazba,spika affuate kanuni na sheria za kuendesha bunge,najua vinginevyo jumba hilo litamshinda makinda.ooooohooo.!yangu macho.
Great thinkers mwashangaa nini hao wabunge kushindwa kujieleza kiingera,ili hali wengi wao wanashahada feki,inakuwaje intellectual tena hata Mwenye PHD ashindwe kujieleza kiingereza,haiingii akilini kwangu mimi kama mwanazuoni.kiingereza ndio lugha itakayotumika huko kuiwakilisha nchi yetu,so...
KUMTAMBUA KIKWETE NA SERKALI YAKE NI KUISALITI NGUVU YA UMMA,SERKALI YAKE ITAKUWA YA HILA KAMA YEYE ALIVYOINGIA MADARAKANI KWA HILA,AKIJUA SASA ANAO WAKATI MFUPI KABISA YEYE MWENYEWE NA CCM YAKE KUFANYA DHULUMA KWA WATANZANIA.:israel:
HUO UNYAMA HAUNA MAANA YOYOTE KWA MGONI WAKO,KWANI UNYAMA HUO KAMA NI KWA MINAJILI YA KUENDELEA KUISHI NA HUYO MAMA;KWA UFUPI TU UTAKUWA UMELAMBA DUME,LABDA UKUBALI KUUA WANAUME WAKWARE WOTE.SABABU MAMA HUYO ATAENDELEA KUOPOLEWA NA WENGINE TU.KUMBUKA TABIA YA MTU NI KAMA RANGI YA NGOZI...
Lakini sio kwa makoloni ya francais alone,hii inaonekana kuwa ni kama kasumba fulani ya viongozi wa kiafrika kubadili kanuni za katiba ili wabaki kwenye ulaji.this is very bad.our leaders let us be the change that we want,and go with time.
Huyo waziri ana mawikinesi kama most of us tulivyo,kuwa waziri hakumvui ubinadamu wake wa kawaida.By the way kila mmoja ana ulevi wake.No one is perfect leave alone God and angels.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.