Ukitaka riba ipungue shusha miaka ya kufanya marejesho iwe angalau miaka mitatu. Ila ni lazima uwe na vyanzo vingine vya mapato vinginevyo mambo yatakuwa magumu sana. Mkopo uko fair huo
Sababu pekee inayofanya ndoa ivunjwe na mahakama ni kwa sababu ya uwepo hati ya kisheria ya Jamhuri. Cheti cha ndoa si mali ya kanisa au msikiti. Anayefungisha ndoa anatoa Cheti kwa niaba ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kubatilishwa hati hiyo itafanywa hukohuko.
@Jumong S Hii mada bado inaendelea? By the way Adam na Hawa walizaa watoto wengi wa kiume na wa kike. Basi ni wazi kuwa Kaini alipooa alimchukua dada yake maana ndio waliokuwa duniani.
Ukapika data zinazokaribia na uhalisia. Walimu wa hizo shule wandundisha mbinu za kufaulu mitihani pia kuhakikisha unamaliza kwa muda muafaka kisha urejee kuokoteza marks kuitafuta A au B [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kupoteza sifa kivipi mkuu wakati sasa hivi zimeongeza ufaulu kuliko miaka hiyo. Fuatalia matokeo yaliyotoka leo halafu linganisha na enzi zako. Kuna 1.7 zaidi ya 40 kwenye shule moja hizi za Kibaha , Mzumbe na Ilboru wakati enzi zako idadi hiyo ilikuwa kwa Tanzania nzima. Hizo shule bado...
Hapo mimi huwa siendi kichwakichwa. Wife akibeba mimba tu namkabidhi Doctor France mapema anamhudumia mpaka siku ya kujifungua.
Internship Doctors ni balaa walishakosea kumchoma sindano ya usingizi ndugu yangu walizidisha wakati wa choma chomoa hakubaki salama tulizika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.