We jamaa bwn cjui umejilia miharage ya wp....ss kilichokuwash mpk kupost wkt hutak unayotaj ni nn km sio......(all -ve ans ar correct)
Afu kumbe hujuagi kuandika khaaah!....
Ushauri mzr ila naona bora ajiunge ukawa awape mbinu zaidi na kutoboa siri za chin ya uvungu kw weledi wa kiwango cha juu haki ya Mungu akidhamiria ccm itakuw bhaaaaas...
Hii nchi nahama khaaah!bora nikapange ughaibuni Hahahahaaaa. ...
Mm nawaz tu uchaguz wa mwka huu utakuwaje yn dalili za mvua tayar...
Km vp naon wangeanz kwakuvunja huo muungano tubak wenywe tuparangane vzr zanzbr ni tegemezi sn sn sn tn saaaana.
Ukija kwny katiba ht akiulizw mwny Phd ni nyota tu ni bora ht ingejadiliwa mwka mzima ndo ipitishwe kuliko...
Aisee hawa jamaa mm hta matendo yao cjayaelew.wamekuj ofcn na barua yao wakitak elf 50 baada yakuona lugha gongana na wawekezaji wakaanz kuongea kwa vitendo....
Hahahahaaaaa. ....kidg niache mbavu kwny kiti...
Wametok kapa hku wakilaumu kuwa tutaonana mbele ya safari.
Tupia kapuni hii nchi...
Kazi zenyw majang km kapat fursa yakupig changalamacho akae azubae kw kuogop kuanikwa?!
Achen majungu fanyen kazi nchi yenyw tumepanga wote ishauzwa kaen mkitafut vya halalk mtachelew sn.
Mbn atachizika....
Icho kizygot kitaporomoshwa fasta km damu ya mwezini...Hahahahaaaaa. ...hapana chezea watoto wa mujin.
Akishakuw kapi km wema aka tasa aanze kulialia nakutafta makanisa ya ..........mbashalize.....
Hawa policcm ni njaa tu..
Kifuatacho jino kw jino km anamkumbuk ni bora kumvizia kitaa.tu mnampa nakoz afu anacndikizw na cndano za nyuma aende nai akapigwe bomba kbs...
Haw jamaa cjui wanarogwa kabla yakuvaa ile migwanda yaan cwaelewag kbsaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.