Me mwenyewe nipo nakula k vant hapa,liwalo na liweee.karibuni
Nimepamiss home Mbeya mama John Ilomba huko.
Sasa nipo Nanjilinji huku nalima mihogo daaah!
Mkuu sijui hawa vijana ujasiri ule wanautoa wapi? Yani wapo speed kaliii na anainyenyua toyo tairi la mbele anatembelea la nyuma.Mbaya zaidi utakuta amepakia wenzake kwa nyuma na wengine ni mabint.
Wangehamisha ujasiri huu kwenye kupigania haki na usawa wa kunufaika na keki ya taifa,maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.