Mkubwa suala siyo kuhama wizara kama ahamavo mwanafunzi shule!! we soma then ukimaliza, fanya utaratibu wa kutafuta kazi kama kawaida, usitegemee kua utapewa form itakayokulazimu kujaza ili uhame wizara!!
mhh to me thats strange and i don think if real your mind works, mpaka mkafikia hatua ya kutamaniana ina maana mlikua mmefungwa kwenye kachumba kadogo???? u got no access to watu wengine???mmelelewa kwenye mazingira gani???how about ur religious ethics???well, to me real imenishangaza...
mhhhh thatz too much jamaani, kila kitu kna uzuri mahari pake....!!where are we hailing to???hata sodom ilianza lyk that...!!!shauri yao wanaoutolea macho upuuzi wa duniani...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.