Mamito za siku nyingi ni heri sana nashukuru mungu na pia asante kwa ushauri mpendwa wangu vip za kwako Dear
Kilichonishitua kwenye wasapu hii ni pale mdada alipokuwa anamuuliza utakuja lini pande hii na yeye kumjibu sasa niko kwa Family ila tutaonana tu hapo kweli si kuwa muzee anachit?
Thanks tian unajua kuna wakati mungu anaamua kukuonyesha kitu ,,,sijawahi kupekuwa simu ya baba watoto ila siku hiyo nilipekuwa na nikasema sirudii ingawa tayari nimeshajua mume wangu si mwaminifu..na ameniumiza sana
mtu hujari hata mogonjwa?
Ok Elli kuchat sawa mie ningekuta kachat mambo ya kawaida ya msingi kuwa anatafuta kiwanja,shule ,maendeleo nisingekuja kulalama hapa ..wanachat mambo ya mapenzi kumisiana na mengineyo...Pulizi
Ladies and Gents habari za siku nyingi ..
Nilikuwa busy na kitabu pia family ndio maana nimekuwa Kimya Kidogo
Leo nina tatizo naomba ushauri na msaada kimawazo..
Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl
Jmos moja mme wangu alinipa simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.