Search results

  1. R

    Hukumu kesi ya Lema tarehe 21-12-2012

    Naombeni kuuliza huwa nasikia kuwa Majaji wote wa mahakama kuu na rufaa huenda likizo kuanzia tarehe 15/12 kila mwaka mpaka mwezi wa tatu labda wale wanaosikiliza shauri za jinai, sasa kwenye kesi ya Lema inakuaje??? Nasubilia hukumu kwa hamu, natumaini Mungu yupo upande wa Lema, Ndani ya Bunge...
  2. R

    Vibali vya ajira wizara ya Afya lini vitatolewa?

    Serika hutoa vibali vya ajira mwezi October mwanzoni kila mwaka, mbona mwaka huu umepita bila kutoka kulikoni? au pesa hakuna?
  3. R

    Vibali vya ajira wizara ya afya 2012/2013 vimechelewa?

    Miaka yote mbona vibali vya ajira wizara ya Afya hutoka mwezi October mwanzoni, lakini mwaka huu umepita bila kutoa? Pia mishahara ya October bado? Nchi imefilisika nini?
  4. R

    Vibali vya ajira wizara ya afya 2012/2013 vinatoka lini?

    Serikali imekuwa ikitoa vibali vya ajira wizara ya afya kuanzia mwezi october mwanzoni mbona mwaka huu umepita bila kutoa vibali
  5. R

    Mwaka huu serikali yashindwa kuajili watumishi wapya wa afya kwa wakati

    Mwaka wa fedha 2012/2013 Serikali imeshindwa kutoa vibali vya ajira kwa wakati kama ilivyokuwa ikifanya miaka yote kutoa vibali vya ajira kwa watumishi wa kada ya afya mwanzoni mwa mwezi wa kumi kutokana na ukosefu wa pesa ya kulipa watumishi hawa wapya.
  6. R

    Katibu wa BAKWATA Arusha alipuliwa bomu

    Habari zilizowafikia hivi punde ITV saa 0930HRS
  7. R

    Awamu ya tatu ya mgomo wa madaktari 23 June, 2012

    Yafuatayo ni madai ya madaktari na majibu yaliyotolewa na serikali. Kupandisha mishahara, Bajeti ni finyu, kuwaongezea madaktari mishahara kutaongeza migogoro ktk secta nyingine, Bima ya kijani kwa watumishi wa afya serikali itaendelea na mazungumzo na mifuko hii, ili kuona kama wataboresha...
  8. R

    CUF wapeleka barua Ikulu ya kuonana na Rais

    nao CUF na CCM wamezidi kudesa kila kitu kutoka chadema, sijui hawana planners kwenye chama.
Back
Top Bottom