Habarini,
Kama mjuavyo asilimia 57 ya wapiga kura ni vijana ambao kwa hesabu za haraka 50% watampigia kura Lowassa na hao 7% hawaeleweki. Ili kupata ushindi Rais anatakiwa awe na kura zaidi ya 50%, kwa kuangalia orodha ya Tume inaonesha wengi ni wapiga kura wa Lowassa, wanatarajia Lowassa...
Habarini wanajamvi,
Nikiwa Mtanzania kama walivyo wengine nami niliitikia wito wakujiandikisha kwenye daftari kwa ajili ya kitambulisho cha taifa.
Ni miaka miwili sasa imepita toka nijiandikishe lakini sijawahi fanikiwa kupata kitambulisho kwani sijapigwa picha.
Nimekuwa nikitembelea kituo...
UZEZETA hauko hivi kaka,UZEZETA ni kubaki ofisini,kujiongezea elimu ili siku moja uwe Bosi ndio maana mnaishia kurogana tu ili mmoja afe uchukue nafasi yake.
ushauri mzuri sana kaka,watu wapo kukashifu tu bali hali halisi ni kwamba watu wanakufa na tai shingoni,kazi hawawezi acha ingawa zinawanyima kutimiza ndoto zao...wapowapo tu wanategemea labda baada ya kukaa kazini muda mrefu watapata umanager na kuongezewa mishaara,wanajiongezea elimu sio kwa...
Habari wanajamvi, kwa hali ilivyo kwetu sisi wafanyakazi hasa sisi wakipato cha chini, maisha yetu yanazidi kuwa magumu. Nimejitahidi kumtumikia kafiri miaka 7 sasa huku nikisave kila mwezi lakini hadi leo mil 10 sina, kila siku linazuka jipya na uchumi unaporomoka in short ajira hainisaidii...
Poleni na Majukumu wana JF,naandika waraka huu kuelezea masikitiko yangu kwa CRDB. Kwanza kabisa,mtandao wenu wa ATM ni korofi sana,na mara nyingi ATM zenu zinakuwa hazina pesa hata kama hiyo ATM ipo kwenye tawi,mfani pale brach ya Mlimani city pana ATM kama sita hivi na utakuta ni ATM moja tu...
Habari wanajamvi;poleni na majukumu. Naandika ujumbe huu kwa masikitiko maana ndugu zetu walemavu wametegwa na mradi huu mpya. Ukiangalia mradi huu kuanzia Posta hadi Kimara hakuna hata mahali panapo mruhusu mlemavu kuvuka. Chukulia mfano mlemavu anakaa kati ya vituo viwili vya mabasi sema...
Nimekuwa nikijiuliza binafsi kujua hasa kwa nini waTanzania tuliowengi hutembea na kutumia diary za miaka ya nyuma, mfano kuna maelfu ya waTanzania hadi leo tunatumia diary za mwaka 2010-2012.
Je mipango yetu bado ipo juzi na jana wakati tunaishi leo?
Au ndo hatuna utamaduni wa kujipangia...
BBC wanadai inaweza kuwa ni suala la afya na uzee pia ndio vitakuwa vimechangia maamuzi hayo.
kuna mkutano na waandishi wa habari nusu saa kutoka sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.