Search results

  1. Dotto Mnzava

    Watuhumiwa 40 mbaroni kwa kula njama ya kutoa Makontena zaidi 2500 TPA, wamo 26 wa TRA

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watuhumiwa 40 kwa tuhuma za kula njama za kutoa makontena zaidi ya 2500 kinyume na utaratibu wa sheria na kuisababishia hasara Serikali ya mabilioni ya fedha. Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya...
  2. Dotto Mnzava

    Watu wenye wafuasi wengi Twitter

    Kwa mujibu wa wakuu wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter wamesema, Katy Perry anaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi ambao ni 78.3 milioni, akifuatiwa na Justin Bieber - 70.5 milioni. Wengine ni pamoja na Taylor Swift ambaye anawafuasi 66.7 milioni huku Rais Barack Obama wa Marekani akiwa na wafuasi...
  3. Dotto Mnzava

    Polisi kutumia ?WhatsApp? kudhibiti uhalifu

    Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha, Jeshi la Polisi mkoani hapa limeazimia kushirikiana na Makapuni binafsi ya Ulinzi na taasisi za Ulinzi kutoka UN-ICTR, UNMICT, kitengo cha Ulinzi cha B.O.T pamoja na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu katika kupeana baadhi ya taarifa za uhalifu...
  4. Dotto Mnzava

    Nionavyo: Azam Energy Drink ina madhara ukiitumia vibaya

    Huwa mimi situmii hivi vinywaji kwa sababu za kiafya.
  5. Dotto Mnzava

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Hiyo inatokana na mitazamo ya wadau jamvini
  6. Dotto Mnzava

    TRA yakusanya tsh. 5bn kodi ya makontena 329, wafanyakazi 37 wasimamishwa kazi mchana huu

    Wanajamvi, Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, imekusanya zaidi ya Sh. bilioni 5 za kodi ya makontena 329 yaliyotoweka Bandarini Dar es Salaam. Kaimu Kamishna wa TRA, Dk. Philip Mpango, amesema leo na kwamba jumla ya wafanyakazi 35 wanashikiliwa kutokana na sakata hilo.
  7. Dotto Mnzava

    Gari la kubeba magazeti linalomilikiwa na Kampuni ya Mwananchi linalokwenda Mbeya limepata ajali

    Wakuu, Gari lililokuwa limebeba Magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communication Ltd, Wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti kwenda Mbeya limepata ajali Kitonga leo alfajiri na inasadikiwa waliokuwemo ndani ya gari hilo wamefariki. Garila kampuni hiyo ambalo limepata...
  8. Dotto Mnzava

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    Wkuu, Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, mchana huu amefanya tena ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na Shirika la Reli Tanzania (TRA). Tangu alipoingia katika maeneo watumishi mbalimbali wa serikali walipokuwa katika maeneo yao ya kazi walionekana kupigwa...
  9. Dotto Mnzava

    Unyama Zanzibar: Kituo cha Redio Chachomwa Moto

    Kundi la watu wasiojulikana wenye silaha usiku wa kuamkia leo wameivamia na kuiteketeza kwa moto studio ya kurushia matangazo ya kituo cha radio cha kibinafsi cha Hits FM kilichopo eneo la Migombani, jimbo la Kikwajuni visiwani Zanzibar.
  10. Dotto Mnzava

    Gambia: Country bans Female Genital Mutilation

    Gambia has announced that it will ban female genital mutilation, or FGM, as a global campaign to end the practice takes effect. Last week, President Yahya Jammeh said FGM was outlawed immediately, but gave no specific timeline for the government to draft legislation enforcing the ban. More...
  11. Dotto Mnzava

    Utafiti: Ulaji wa Mirungi unapunguza nguvu za kiume

    Utafiti uliofanywa kwa niaba ya Serikali ya Kenya na wahadhiri wa chuo kikuu cha Moi kilichoko katika Bonde la ufa umebaini kuwa Majani ya miraa inayofahamika pia kama 'Mirungi' unazuia ukuaji wa manii. Aidha, ulaji wa kipindi kirefu wa miraa unafanya mbegu za kiume za wanaume kufa haraka pindi...
  12. Dotto Mnzava

    Wale watuhumiwa wa Kobe wafikishwa Mahakamani

    Watuhumiwa watano waliokamatwa wakisafirisha kobe nje ya nchi kupitia uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo kuratibu makosa ya kuhujumu uchumi. Makosa mengine ni ya kupatikana na nyara za...
  13. Dotto Mnzava

    Mahakama Kuu Kanda ya Tabora yatupilia mbali pingamizi la Wakili Husna dhidi ya Kafulila

    Mahakama Kuu Kanda ya Tabora inayosikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Kigoma Kusini ilofunguliwa na David Kafulila dhidi ya washtakiwa; Husna Mwilima, Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya uvinza kama msimamizi wa uchaguzi na Mwanasheria mkuu wa Serikali ilipokea pingamizi...
  14. Dotto Mnzava

    TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

    Pumnzika kwa amani mpendwa, pia pole ziwafikie ndugu wa marehemu.
  15. Dotto Mnzava

    Juhudi za Rais Magufuli za kusafisha uozo ziungwe mkono

    Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli, imejipambanua katika harakati zake za kurudisha uadilifu katika nchi na kukabiliana kwa nguvu zote na rushwa na ufisadi. Pamoja na ukweli kuwa maadui wa taifa letu wanaojulikana ni ujinga, umaskini na maradhi, lakini matatizo ya rushwa...
  16. Dotto Mnzava

    TANZIA: Mama yake kipenzi Ladydoctor amefariki dunia

    Apumnzike kwa amani mama yetu.
  17. Dotto Mnzava

    Taarifa ya Bakhresa Group kuhusiana na Upotevu wa Makontena

    Wangetakiwa kufafanua kwa kina juu ya ishu ya kodi
  18. Dotto Mnzava

    Korti wilayani Mbeya yawahukumu wakazi 2 wa Uyole kifungo cha miaka 7

    Mahakama ya Hakimu Mkazi wilayani Mbeya imewahukumu wakazi wawili wakazi wa Uyole kutumikia kifungo cha miaka 7 kila mmoja baada ya kuvunja na kuchoma nyumba ya waliyemtuhumu kuwa ni mchawi.
Back
Top Bottom