hawa jamaa mshahara bado kueleweka kwa mijubu wa taarifa za leo asubuhi na utawala umekaa kimya. Ni hali ya hatari kwa maisha ya watu ukuzingatia hiki ni chombo cha habari kilitakiwa kuonyesha mfano. Wasiwe tu wepesi wa kuandika mabaya ya wenzao yakiwakuta nao waweke hazarani.
WAO NI MABINGWA WA KUANDIKA YA WENZAO NAO WATOE FRONT STORY KWAMBA HATUJALIPWA MSHAHARA TUNAKUFA...... Then Balile aweke mbwembwe zake hapo:confused: (ataweza?)
Magazeti haya yanajaribu kutumia propaganda kuonyesha kwamba kuna watu ni wahalifu au wanakiasi chama ili wafukuzwe. Ni mbinu iliyoshindikana sababu welengwa wameshtukia dili
[
Awe mpenda maendeleo, na pia awe ni mtu anaemjua mungu.
.
Kipengele hicho binti wa kichaga laziima kiwepo. mCHAGA WA WAPI MANAKE WACHAGA NDIO ZENU HAMTAKI NASIKIA WA KISHUMUNDU
Inasemekana ndani ya kampuni hiyo mambo si shwari kutokana na kwa miezi kadhaa sasakushindwa kuwalipa wafanyakazi mishahara kwa wakati ( tarehe 46) na pia kukabiliwa na migogoro kadhaa ya ki utawala hata kupelekea baadhi ya wafanyakazi kufutwa kazi.
Suala la mshahara linaonekana kuwa sugu sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.