Hahahha huyo sio black mamba ila angalizo tu, chukua hatua ya tahadhari kudeal naye ila angekuwa black mamba asingekupa hizo sekunde kumi za kutazamana, zaidi ungekuwa mochwari sasa hivi with a toe tag.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajukwaa nauza sterilizer mpya inafaa kwa kusafishia vifaa vya salon za kiume na za kike kama vile mashine za kunyolea,vitana brush na kadhalika.
Napatikana DSM
Bei Tshs170,000/-
Mawasiliano: 0746 359376
Mkuu kwa uelewa wangu mdogo, mambo ya copyrights yanakuwa issued na COSOTA (Copyright Society of Tanzania) kwa upande wa Tanzania bara ila kwa Zanzibar ni COSOZA, pili kwa kipengele cha patents registration/recognition hii inatolewa na serikali kupitia BRELA ikishirikisha ARIPO na WIPO ili...
Mkuu kwa uelewa wangu mdogo, mambo ya copyrights yanakuwa issued na COSOTA (Copyright Society of Tanzania) kwa upande wa Tanzania bara ila kwa Zanzibar ni COSOZA, pili kwa kipengele cha patents registration/recognition hii inatolewa na serikali kupitia BRELA ikishirikisha ARIPO na WIPO ili...
Mr Good guy mimi nina neno hapa, utanirekebisha kama sitakuwa sawa, Iko hivi mimi nilishawahi kupurchase item eBay kupitia PayPal yangu ambayo ipo connected na CRDB Acc baada ya muda yule seller akanicontact kunieleza kwamba hawezi kutuma mizigo TZ hivyo akasema atanirefund, baada ya Muda pesa...
Ni kweli mkuu label nyingi cheni zao huwa ni label zenye logo ya group kwa upande wa WCB sijui labda wao wameamua kutumia logo ya design hiyo ila tamati yangu ni kwamba wasanii wanaotoka label moja kuvaa cheni zinazofanana sio jambo la ajabu.
Fatilia label nyingi za muziki mleta uzi utagundua kwamba label huwa zinawapa cheni zinazofanana wasanii wao ili iwe identity ya label wabayotoka mfano mzuri ni MMG Rick Ross, G UNIT, QUALITY CONTROL, YOUNG MONEY ETC, Hivyo basi ni jambo la kawaida sio la kuhusisha na imani potofu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.