mimi sioni tatizo la masha liko wapi, tatizo ni mfumo wote wa utwala, km utendaji wa masha mbaya tuambieni ni utendaji wa kiongozi gani mzuri. pia hao polisi msiwalaumu sana maslahi duni ndo yanayowasukuma huko.
uchotara unakuja kwa kuchanganya race, mrangi na mchagga wote ni wabantu mtoto anaweza mwenyewe kuamua kabila gani analipenda la baba au mama. kumbuka hapo zamani watu walibadili kabila kutoka moja kwenda jingine. kwa ufupi inasemekana mtemi millambo wa unyamwezi alikuwa mngoni kiasili. wachagga...
tatizo la watz wanafikiri kila kitu kinachoanzishwa na wenye nazo in fashen na kwenda na wakati. unaweza kuangalia hata kwenye kipima joto cha ITV sms ni sh ngapi.
ni upumbafu wa watz wenyewe tunashindwa kuwajibika sisi wenyewe na pia kuwawajibisha wahusika, hakika ktk EAC tutaolewa.pesa zipo, kwani hafla ya jezi ya ronaldo ikulu si ilifana. kwa nini hatuchukui hatua pesa zetu zielekezwe kwenye mambo muhimu km elimu. waacheni walimu wale mahala pao pa kazi.
kwa kweli nashindwa kuelewa hii sheria ya SOSPA ipo kwa ajili ya kukomoa au kurekebisha tabia. au ni wanasheria wanaitafsiri vibaya kuwapendelea wanawake. wanasheria tufafanulieni plz.
nakushauri uwe na line za mitandao yote walau mitatu. usifikiri watu wanakuwa na line za mitandao 2 na kuendelea kwa ufahari lah ni kwa sababu ya adha kama zilizokupata wewe. lakin kama umedhamiria hasa kuhama vodacom nakushauri uende zain.
tatizo letu wabantu ni wavivu wa kufikiri. hapa kwetu ukimwi ulianzia kagera na huko ndizi ndo bwerere. na hiyo HIV-2 ilikuja badae lakini awali ilikuwa ni HIV-1 then why watu waliangamia licha ya kula ndizi kwa wingi. Ni hao hao wataalam wanatuambia kuwa HIV wanao tushambulia watu weusi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.