Hujawahi kusikia mtu wa mzima lakini ana mambo ya kitoto,hiyo ni moja ya mtu kuchelewa wakati alipotakiwa kufanya hayo mambo ya kitoto hakufanya hence ndio mana anaambiwa kachelewa huo ni mfano of how unaweza kuchelewa
Your right yaani haiwezekani mtu akuache unreasonably halafu kwa rate kubwa ya watu kwa karibu aina moja ya kuachwa so as far as watu nje waliokuwa nae na mahusioano kujua whats wrong its difficult
Hakuna mahala duniani utaweza kupata ushauri wa kuongoza ndoa yako kwasababu wewe ndio ulimpenda na unamjua vizuri mkeo so do what you think is right amini kila mtu ana mawazo yake sasa lipi uchukue lipi uache,so i suggest hanlde your issues as a man
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.