napenda kusaidia dada juliana maana ameshindwa kuelewa kwamba wale wanaochaguliwa sinkwa faida yao bali ni kwa faida ya jamii nzima ya wale mnaowaita wasomi kama ulininukuu vizuri nilisema kuwa suala la uchaguzi ni jukumu la wadau wote wa ule uchaguzi sio kwamba waliteuliwa waapigiwe kura la...
Nashangazwa sana na wasomi hawa wa chuo hiki kikongwe na tunaamini kinatoa wahitimu wengi bora wenye kuiletea sifa kubwa taifa letu nmaanisha chuo kikuu cha Dar es salaam.
Katika uchaguzi mkuu pale chuoni kulikuwa na kila aina ya shamlashamla za uchaguzi kama ilivyo kwa chaguzi zingine za...
hakuna usahihi katika hili, naamini mheshimiwa rais ameamua kuwaleta real madrid kutokana na mapenzi yake binafsi katika timu hiyo. kwanza alipaswa kuangalia hali nzima ya kiuchumi katika nchi yetu inayokabiliwa hasa kipindi hiki ambacho tumetoka katika janga kubwa la umeme lakini ametumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.