Tatizo viongozi wa dini wengine wasanii, mfano sheikh Yahya hv ni kiongozi wa dini au mpiga ramli? Naogopa sana maana ndio role model wa maamuzi makuu ya nchi. Sasa hapo watanzania tupime ghadhabu ya Mungu itakuwaje juu yetu.
Kwa kweli mimi namshangaa sana huyu mtu anaitwa Kamanda KOVA anapenda sana publicity kuliko kazi yake kama afande nahisi anamuonea wivu JM kwa kazi yake. tangu siku nyingi namfuatilia KOVA sio mtendaji hata kidogo na hii inadhihirishwa na alivyo ona alivyojinenepea hivi kweli POLISI unakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.