Mkuu,
Mie nakusupport hundrend percent...hii elimu sijui itatupeleka wapi..mfano mwingine ni pale Mzumbe kampasi ya Dar ...wanachukua wanafunzi wengi ili mradi madarasa yajae...kuna kila aina ya wanafunzi wengine hta hizo degree zao au advance zao hazieleweki ili mradi tu wapate wanafunzi..hamna...
Hongera mkuu maana safari hii mambo magumu,sana kaza buti maana uko uendako ni kugumu zaidi...achana na longolongo za wananchi..hiyo ni lazima kwa kila mkusanyiko wa watu
Hapo mzee utachemsha utabwaga majanga kwa wangapi?mbona hilo ni jambo la kawaida km wewe bado kua uyaone hayo ndio maisha,mbona hata mababa na mama zetu wanalijua hilo na walikukimezea kwa mengiii....maana hata wewe mwenyewe tafakari kuna familia zingine watoto wanne hawafanani hata...
Hii nimeikubali wazee wote na wabunge ambao wameshaaka zaidi ya vipindi viwili au vitatu na zaidi ingekuwa makini na kupendeza zaidi km wote wangeachia ngazi,km hujaweza kufanya mabadiliko kwa kipindi cha miaka kumi na tano,wewe utakuwa sio mbunge bora bali bora mbunge....eg Malecela,kina Rita...
12.hailipi kumchagua,watanzania wote tunaonekana wajinga hakuna kinachotekelezeka...na amini usiamini 2010 lazima mademu wataongezeka na ukitaka kuchaguliwa km wewe demu lazima uwe na reception ya kuvutia...Please say No to Jk.Yeye sio msanii ni nyumba ya Sanaa.
Its true nawasupoort kabisa ukiwa single unakuwa huna pressure kabiga simu au hajapiga,ooh sijui weekend hii atanipigia au nini?na mara nyingi wanaume wa kibongo ukijitangazia ubusy say two weeks in arole lazima atakuwa curious na yeye ndio atakutafuta...mie hiyo naipenda zaidi....kuwa kikazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.