Hakuna mahala kwenye biblia palipoandikwa WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA bali imeandikwa WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA.
Kwakuwa haupo makini kwenye mambo madogo kama haya,basi hili andiko lako huenda limejaa upotoshaji.
Hapo tatizo sio kuzaa nje ya ndoa,zingatia hili.Tatizo ni maamuzi yaliyofanywa na ndugu na mahakama.
Wanaume zaeni kadiri muwezavyo ila weka mipango sawa kabla haujarudi mavumbini.
Usidanganye watu,Yesu hakuamuru kuwasamehe wanawake waasherati,kazi ya kumsamehe mwanamke muasherati ni ya Mungu pekee.Mwanaume kumsamehe mwanamke muasherati na mzinzi ni kuingilia majukumu ya Mungu
Siwezi kumueleza mama kuwa yule mwanamke aliyenitafutia awe mke wangu akiniaminisha kuwa ni mke mwema,namtafutia waganga wamroge hili apotee machoni kwangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.