Kwani MEWATA alikuwa pekeyake au na Dr's wengine, nadhani US Embassy ingesema anawakilisha wana MEWATA wote
Joyce Mhavile wa ITV/RADIO One hajapata
CCJ Oyeeeeeeeeeeeeeee
Waumini wa Kakobe wana haki kabisa ya kufanya yote hayo, before hiyo service ilitakiwa kupita left hand side if you come from ubungo, means UDSM side, but UDSM walikataa kabisa wasipitishe ktk eneo lao nadhani UDSM walifanya tafiti zao na kuona ni hatari tupu,
Bigup KAKOBE
Nadhani Mkuu alienda bila kujitayarisha au wsaidizi wake walimwandalia hotuba kyk ndege na kuprint walipotua Airport Libya
Inashangaza sana serikali ilishindwa kufanya tathmini ya hasara, any way amwombe Gadhafi
Vipi ha kwenda na mama Salma.
Suala la Aisha Kigoda kuwa Dr au Kutokuwa Dr, ambaye anaweza kutujulisha zaidi ni Associations ya Watabitu "Chama cha Ma Dr. " They have their ethics and regulations/bylaws as engineers or lawyers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.