nafikiri takukuru wabadilishi jinsi ya kushughulikia ttizo la takrima katika uchaguzi.
wote waliokamatwa kwa kweli hatujaona matokeo hasi ya kukamatwa kwao. hivyo nafikiri ili tuuone ueledi wao inapaswa kutoa mambo yenye matunda.
pia nadhani navyo vyama katika ngazi zote watoe ushirikiano kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.