Wana JF Heshima mbele
Naomba kama mwenye kujua nataka ninunue IPHONE 4 ya ukweli kwa Dola 700. Je anayejua? NAHITAJI HARAKA NIMEPATA KAZI MAJUU NATAKA KWENDA NAYO WAKUU
Jamani nilibahatika kumwona mama Africa pale Muhimbi sasa mwenye DATA maana nilihuzunika sana kumwona maana alikuwa anaumwa na niliweza kuongea nae machache sasa sijui huko Tanzania kwani nilisafiri baada ya wiki mbili tokea nimwone mwezi wa pili kama sikosei tarehe za mwanzoni.
Nilikuwa...
Mimi nakushauri LED TV Sony inamusic fresh na inadumu? ukikosa LG Inch uchukue 40 mpaka 46 ndio sahihi kwa nyumba za kibongo na pia hizi TV za LED kuna kifaa kinatakiwa kifungwe cha kupunguza joto ili iweze kupiga mzigo muda wote sasa waulizie hicho kama wamefunga. LCD kimeshafungwa tayari sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.