Sijaelewa sababu za yeye kuzunguka mchungwa kwenda kupata matibabu, doctors wanabanwa na viapo na hawana roho za kijangili kama ma askari.
karma is a bitch, no doubt about that, never mess with smarter dudes than you(that's the rule of thumb)(fikisheni ujumbe huu kwa low scores wanaomlinda...
Senior expert????
Huwezi elewa umuhimu wa daktari kama hujawahi ona uhangaikaji wao tangia masomoni mpaka mafunzoni na kisha wanapoajiriwa, ni mateso kuanzia mwanzo mpaka futi sita kaburini
Yes,nakubaliana na wewe ni watumishi wa umma kama walimu, na wengineo
VIpi unaonaje siku mkeo akiwa...
Naona aaibu huyu Ndugu Ponda kuwa mmoja wa waziri wa idara ya afya nchini.
Inakuwaje waziri hajui analolisema? ni uzumbukuku au anatumia dermatomes kufikiria badala ya ubongo?
Ina maana hana washauri?
JK punguza kutuwekea mambumbuu kwenye wizara zako,ahhh
jamani si kila mgombea wa toka chama tawala ni mbaya,kijana ni mpiganaji,na natumaini atawakilisha vilio vya watanzania wengi na apewe nafasi,kama kashinda nampa hongera zake
kama wana nia kweli ya kufanya biashara, nawashauri, wayalete ma tractor ya bei nafuu kwanza, wengi wetu at least tuweze kumudu kuyanunua, and ofcourse na nyie mtapata biashara,maana itatoka sana,nina wasiwasi na hii bei na kutoka kwake,unless kampuni imewalenga mafisadi wa kilimo
bei mbona imekwenda hewani sana, hii issue ya kilimo kwanza imekuwa too thorny, sasa kwa mkulima alielewa na serikali yetu hii sidhani kama anaweza kuzimudu, hapo inamaana bei ya tractor ni tofauti na vifaa vyake,mweeeeeeeeeeeehh, ama kweli kilimo ndio backbone ya mtanzania,ndio hivi...
tangazo zuri na majibu yapo sema jinsi ya kujibu,kwanini TBC wamelibania inamaana serikali haitakiwi kuulizwa maswali ya msingi?sioni logic ya wao kulizima tangazo.
binafsi nishajiuliza sana kwanini watz sie ni choka mbaya wakati tuna rasilimali za kutukomboa,mi naona jibu ni moja tu hatuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.