Search results

  1. J

    Pesa ndio kila kitu kweli?

    Kwa mchaga pesa ni kila kitu kwao sasa unaposema sio kila kitu wanaweza kukupa hata kipondo.
  2. J

    Majina gani unique au ya ajabu JF

    Masai dada, miss chaga na Chokonoa
  3. J

    Mwanajeshi apigwa na Askari wa Usalama!

    Nini hasa chanzo cha kumpiga? Kama kweli ni mwanajeshi basi kazi ipo kwa hao polisi na wataiona dunia chungu sana lakini kama hakuwa mwanajeshi basi kipondo atapata kikali zaidi ya hapo .
  4. J

    Pesa ndio kila kitu kweli?

    Kama ni kila kitu mbona wenye pesa wameshindwa kuhonga kifo?
  5. J

    Maisha ni watu lakini kuwa muangalifu nao.

    Funzo tosha kabisa maana kuna binadamu na viatu na hata uwe mwema kiasi gani lakini du!
  6. J

    Mtoto HAWA MOHAMMED atoweka na kitita cha 93 000/=

    Heheheeee kumbe alikuwa mwizi huyo.
  7. J

    Nini Majukumu ya Mbunge kwa wapiga kura wake?

    Kazi yao ni kula pesa maana majimboni kwao kuna matatizo lukuki lakini hawaendi huko kusikiliza kero. Jakaya awafukuze waende majimboni sio kukaa Dom na Dar bila kazi.
  8. J

    Je, hii ni halali kwa askari wa wanyama pori?

    Kwa nini waue hao ng'ombe kikatili hivyo? Ina maana walishindwa kumshitaki mwenye ng'ombe? Ama ni hasira baada ya jamaa kukataa kutoa hongo? Ama kweli hii ni hatari sana.
  9. J

    Airtel mnanikera sana.

    Ati Airtel baba lao wapi na wapi? Wao kwa sasa ni kero tupu.
  10. J

    Tuige hii desturi ya wachaga

    Wachaga kama wale wa machame wanawake huua wanaume wao ili mali iwabakie. Wachaga wanajua sana pesa hata mtoto mdogo ni balaa hawa watu maana hawana mchezo
  11. J

    Uzee sasa basi, wamerekani wagundua dawa

    Sasa kama wana uwezo huo. mbona dawa ya ukimwi wameshindwa kupata?
  12. J

    Je, hii ni halali kwa askari wa wanyama pori?

    Zaidi ya ngombe 176 wameuwawa katika pori la KIMISI na askari wa wanyama pori baada ya mmiliki wa ng'ombe hao alipokataa kutoa hongo na kukubali kulipa faini ndipo baadae askari pori hao walipoamua kuwaua hao ng'ombe baada ya kuwaingiza kwenye shimo.
  13. J

    Dr. Nchimbi secondary school madarasa mawili yafungiwa kwa mda usiojulikana

    Hapo wanafunzi ndio wataumia sio wazazi so the District Educational Officer hakutumia njia sahihi maana hiyo ni punishment kwa watoto sio kwa wazazi. He have to change his mind.
  14. J

    Dr. Nchimbi secondary school madarasa mawili yafungiwa kwa mda usiojulikana

    Nasikitika sana kwa uamuzi wa huyo afisa elimu maana anakuwa kama sio kiongozi mwenye busara. Kwani hao wanafunzi wana makosa gani? kwa nini asiwaruhusu kusoma kwenye shule hizo zingine kwa mda wakati ukarabati unaendelea? Hapo amewaonea wanafunzi maana hata ukarabati haujulikani ni lini. Wakija...
  15. J

    Mkoa wa Singida watajwa kuwa nyuma kielimu.

    Mkuu wa mkoa wa Singida asema mkoa huo uko nyuma kielimu kila mwaka jambo ambalo linampa wasiwasi na kudai kuwa sio kwamba mikoa mingine kama Dar es salaam ina waalimu wazuri bali ni kujituma. Hivyo amesema Singida wanaweza wakiweka bidii katika elimu.
Back
Top Bottom