Ukosefu wa kinga mwilini jamani katika tiba asili, ni dawa gani zinauwezo mkubwa wa kupandisha kinga iliyo toweka katika mwili wa binadamu?
Natanguliza heshima kwenu.
Heshima kwenu wakuu,
Kwa wale mliojaliwa kuwa na biashara/capital na mnahitaji mtu/agent wa biashara yako mimi natafuta mtu mwenye shida ya msaidizi nimfanyie kazi.
Nipo tayari hata tukaandkshane mbele ya sheria kama unawasiwasi na mimi, nimzoefu wa biashara za aina nyingi. Uzuri wake Mungu...
Hadi sasa jamaa hajapata majibu kutoka kwa wadau, watu wamehama mada na kuanza majigambo ya vyuo na course.
Uje kwa kazi ilokuleta, unaenda mjini kusoma unajiingiza na kuuza chips...are you normal?
Mi cjui ila nilkuwa nawakumbushen tumsaidie mwenzetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.