Mimi naona tatizo sio waalimu .Tatizo ni mfumo wetu wa elimu ni mbovu sana.Hata hao waalimu Bora mnaowataka wangeeda kufundisha nn? Wakafundishe panzi ana miguu mingapi? Wakafundishe miji mikuu? Wakafundishe hesabu za umri?.Tukubali mtaala wetu hauna msaada Kwa watoto.Mtaala wetu unafundisha...
Acha kudanganya haipo hivyo.km hujui kitu ni Bora kunyamaza.
Nyongeza huwa kwa wote.Haiangalii mwezi was ajira na pia nyongeza ya serikali ni mwezi wa 7.km itatokea jambo lingine na kuifanya mwezi mwingine basi Hilo ni jipya.
Hongera umenena.elimu ya Sasa sio yakuondoa ujinga elimu ni maisha elimu ni mtaji elimu ni pesa.sasa mtoto anasoma kwa mamilion ya pesa na hko kapeza muda n ujinga.mitaala zibadilishwe watoto wafundishwe ujuzi wakajiajiri.Hii y Sasa ni upuuzi mtupu.watoto wanaffundishwa mtambuka.
Elimu mtambuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.