Search results

  1. T

    Vijana wapenda mabadiliko tukutane Diamond jubileei kesho na Rais jakaya Kikwete.

    kwanini ndege ya jakaya haikupotea kusikojulikana,,,,
  2. T

    Tazama Mbowe alivyofurahia Hotuba ya Kikwete Bungeni jana

    gazeti la uhuru ni toilet paper.....
  3. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    jk hakuja kufungua bunge bali kudhihirisha msimamo wa ccm kuhusu serikali 2 yeye akiwa kama mwenyekiti....
  4. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    wadau wenye uchungu na maendeleo ya tanganyika....tuungane mkono..tushirikine 2015 tuingie msituni..
  5. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    you can fool all the people for some time,,and you.can full some of the people for all time. but you can't foll all the people all the time,,,
  6. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    siwezi kuendelea kusikiliza ujinga wa jk..nasepa
  7. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    imedanganya wapi?????leteni facts...hoja inajibiwa kwa hoja...Mbona jk anajibu hoja kwa mipasho???
  8. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    huyu ni kilaza...hana facts..mipasho tu....niko na masoja wenzamgu apa kila mmoja amepandwa na morali sababu ya ujinga wa huyu jamaa
  9. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    amekikoaea kikundi kidogo cha ccm na kutenda haki kwa mamilion ya watu wa tanzania
  10. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    warioba ni kichwa...huyu kikaza hagusi kabisa....jk hawezi kupangua hoja kwa critical analysis...
  11. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    ukiona una mama kama hawa wanaopiga vigelegele bungeni,basi hesabu wewe una vuvuzela na sio mama...
  12. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    haiwezekani mkuu...mtu mmoja ata kama ni raisi hawezi kupinga maamuzi ya wengi.... any way kama ataamua kutumia cheo chake huo utakua ni mwanzo mzuri wa mapinduzi,,,
  13. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    usibishane na simiyu..huyo ni vuvuzela ambaye hajielewi..wameshamuharibu .....
  14. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    jamani ata jk Ana maoni yake,,,,kwa hiyo msibabaishwe na maoni ya mtu mmoja,,,,mtu mmoja hawezi kutengua msimamo wa watu zaidi ya mil 40,,, otherwise 2015. patakua hapakaliki,
  15. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    mbona wabunge wa ccm wamekaa majimboni miaka nenda rudi na hakuna walichofanya....
  16. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    watu wanaunda makundi kutetea maslahi ya wengi..lakini hawa ccm wanaunda makundi kushangilia upumbavu.....
  17. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    kinachongojewa hapa ni hii katiba ikamilike..ndipo tujue 2015 tunaingia misituni au la,,,
Back
Top Bottom