haiwezekani mkuu...mtu mmoja ata kama ni raisi hawezi kupinga maamuzi ya wengi....
any way kama ataamua kutumia cheo chake huo utakua ni mwanzo mzuri wa mapinduzi,,,
jamani ata jk Ana maoni yake,,,,kwa hiyo msibabaishwe na maoni ya mtu mmoja,,,,mtu mmoja hawezi kutengua msimamo wa watu zaidi ya mil 40,,,
otherwise 2015. patakua hapakaliki,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.