.sasa hali ni mbaya muhi2. Mabingwa nao wamegoma, wagonjwa wanafukuzwa wodini.. kuna jambo sijalielewa.. DR MARINA NJELEKELA MKURUGENZI MKUU MUHIMBILI yuko wapi..! sijamsikia toka mgogoro huu uanze.! au ametangulia KUJIUZULU.?? au yuko HONEYMOON.??
Ndugu zangu watanzania tunabidi tujivunie maendeleo ya mtanzania mwenzetu Mr. R Mengi, list iliyotolewa na Forbes ya " The 20 most powerful people In African business man". Mr Mengi ni mtanzania aneyetutoa na kuipa Tanzania sifa nzuri, sio kila saa tunaongela habari za mafisadi.
NOTE: Watu 20...
East Africa Television (EATV), itazindua kipindi kipya cha uchaguzi kiitwacho Uchaguzi Express leo Jumatatu ya tarehe 06/ 09/ 2010 saa tatu kamili usiku.
Kipindi hicho kitakachokuwa kikirushwa hewani moja kwa moja yaani live siku ya Jumatatu na Alhamisi, na kituo hicho namba moja kwa vijana...
Zion, unataka kutuambia nini, hatuhusiwi kuweka issues hapa? wewe hauna tofauti na viongozi wa Africa au wabunge wa ccm wanao wania uongozi maisha yao yote. Kwa sababu umekaa around/ post more topics on this forum, u think u can judge other people. Changia topic if you cant kaa kimya
Kwanza ningependa kuomba msamaha kuvamia tuu bila salaam,ni matumaini yangu wadau mtanikaribisha na muweze kujadili issue yangu niliyowakilisha....
na ninapenda kuwaambia wadau siyo ya kiswahili kama ulisoma gazeti la Nipashe last week ungeona tangazo la EATV linalo sababisha tetesi hii
Wadau nasikia EAST AFRICA TELEVISION wanakirudisha kipindi cha Ze Comedy karibuni, lakini watafanya search kwanza....mnaonaje hii wadau? EATV wataweza kutukimbiza nyumbani tena kuwahi kipindi?
Wabishi na walioita habari yangu ya kiswahili ...EATV hawawezi..i hope mtameza maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.