Search results

  1. T

    Nafasi za intern CRDB

    Hata kujitolea napo Kuna kitimtimu..,..makubwaa hayaaa,
  2. T

    Kampuni inayouza viwanja kigamboni

    Mkuu nenda properties,wanamradi mkubwa tu huko...hawnaa longo longo, unalipia kila mwezi hadi miaka 24, pia ukiona jau....wanabenk wanaingia naonmikataba,benk inalipa Kisha wewe unalipia benk.....kiwanja chako ndio dhamana.....ukimaliza tu unapewa hati ya wizara bila chenga.....wapo kariakoo...
  3. T

    Ramani ya vyumba viwili, kimoja master, jiko, sebule na public toilet kwa 5000 tu

    Wakuu habari za hapa,ninauza ramani ya kuanzia maisha ,ramani ya vyumba viwili,KIMOJA master,jiko,sebule, choo cha public. Ramani hiyo Ina kurasa za paa,msingi,muonekano,na vipimo vyake. Kwa mawasiliano nichek inbox. NB: NAUZA KWA SABABU MIMI MWENYEWE NIMENUNUA,NDIO AMBAYO NIMEJENGA.
  4. T

    Ramani ya rahisi ya vyumba2 jiko na choo

    Mi ninayo, ndio ambayo nimejenga,Sina baya miye....nitumie 10000( elfu Kumi tu,) nakupa ramani yote kuanzia msingi hadi paa.kwa maelezo zaidi inbox
  5. T

    Pasi ipi ni bora na inadumu muda mrefu

    Nina pas ya Philips nilinunua mwanza ......hapana kwakweli, basi gani haialibiki....paso Ina miaka 14, tangu 2010, na bado sijuii inaharibika lini....maana ilikuwa inatumika na bweni Zima,lakini wapiiii
  6. T

    Udalali stendi za mabasi too much

    Tuvumiliane tu bwa shee...tuna familia, Leo unatusema hivyo, hata wewe dalali ajaye.....kazi ya wahindi sio kazi ndugu yangu....SEMA Amina na mungu atakubariki
  7. T

    Wenye kwao wanajenga kwao, wakimaliza kwetu wataenda kwao!

    Duuuuuuuuu..........au bachiiiiiiiiiiiiii (jamaa wa mabati ya kinglion voice)
  8. T

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    Mzigo special kwa halmashauri....Huwa wanapewa kuanzia 400M, kwa kila halmashauriii.......na zinatoka hazina.
  9. T

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    Mkuu wewe hujuii jina la mtaa wako???? Andika jina la mtaani kwenu
  10. T

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    Ni kweli.....japo ikija wanatakiwa kitangaza kwa watumishi wote
  11. T

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    Mim ilichukua miezi miwili, mpaka mzigo ukaingia
  12. T

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    Inachukua hadi miezi miwili,so kuwa mpole,
  13. T

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    Post code, muulize HR au mkuu wako wa idara,.....house namba ninamba unayoishi, address ni chukua ya kazini kwako,
  14. T

    Hivi wafungwa kufanyishwa kazi ya kufyatua matofali sio forced labour?

    Chakula anachokula, umeshajiuliza kinatoka wapi?????
  15. T

    Bank ya CRDB tawi la Turiani ni tatizo

    Kadi Yako ni ya ni visa card ...so mkuu katoe kwenye benk nyingine...... Nmb,NBC n.k
  16. T

    Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

    wakuu habar ya KANISA KATOLIKI kubariki USHOGA au mapenzi ya jinsia Moja.....Kila mtu anafahamu, wale wazee wa WARAKA nataka nione uwezo wao wa kuandika, na WARAKA huo USOMWE kwenye Kila kigango au jumuiya...yaani wafanye kama vile walivyofanya DP WORLD.
  17. T

    Mwalimu wa diploma mwenye salary 1M lazima akae kazin miaka mingapi?

    Sawa tumekuelewa....ila sio nikija mtaani mizinga mingi.....unasahau kuwa Mimi ni mwalimu...pia amekudanganya dip ya mwalimu anapokea 500000 take home
Back
Top Bottom