Nilishasema mara kadhaa Nduli Kagame Dadaa apigwe na aondolewe madarakani hawezi kutukashifu kila mara ametuchokoza siku nyingi, sasa kuna jambo litatokea.
Pili, naye kacheza faulo. Kwasasa nchi inapaswa kuwa chini ya Jaji Mkuu kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wewe ndio mbumbumbu la kihistoria, kaanze darasa la kwanza kijijini kwenu, Katiba gani unaongelea? ya kupikia maandazi yako hapo chini ya mti unakokunywa kahawa bila...
Naomba mambumbumbu wa amani muache kuchochea chuki na hulka ya dharau katika nchi hii iliyojengwa kwa misingi ya heshima na upendo.
Ndio maana Dr. Slaa alipodondoka na kuteguka mkono hakuna aliyesema RIP. Badala yake watu wote tulimuombea apone haraka aendelee na kazi za ujenzi wa Taifa.
Muwe...
haha, mnanichekesha sana! nadhani mnafuatilia kwa makini sana vipindi vya ucheshi. Watanzania gani hao mnaodhani ni mazuzu kuweza kuacha almasi yao CCM na kuchukua kipande cha chupa chadema, eti kwa kuwa kinalazimishwa kuonekana kinang'aa kuliko almasi!
[/B][/I]
Baregu aliye kama kenge? Akiona mvua inanyesha anakimbilia bwawani kujificha?
Nani kamsahau alivyosukuma gari ya Mrema 1995 na baadaye akamkashifu? Nitajieni jina la Prof. duniani kigeugeu kama Baregu.
.....Lwaitama hana kumbukumbu ama anarukia mambo tu kama mjinga asiye na elimu, Zitto alifukuzwa Bungeni kwa kusema uongo. Zitto mwenyewe alikiri kuwa Wabunge walikuwa hawajapatiwa mkataba, sasa yeye aliutoa wapi?
......Haya ni mawazo finyu sana kuwahi kutolewa na msomi wa UDSM, yani Lwaitama...
Imefika wakati Watanzania tuamke, tujue kusema ukweli na hiyo kweli iwe amali katika tamaduni za jamii zetu. Tuache kufuata mkumbo wa watu wachache ambao ama kwa makusudi au kwa kutokujua wamekuwa wakipotosha ukweli kwa manufaa yao na kutupilia mbali maslahi ya Taifa.
Hivi kwa mtu mwenye akili...
Clouds ni taswira ya mabogus mengi yaliyojaa nchini yanayojifanya ni mataalamu ya kuset trend ya mwelekeo wa hali ilhali wao wenyewe wako gizani totoro. Hakuna msomi kati yao wale wanapaswa kuelimishwa hata kama hawataki elimu.
Dr Lwaitama aliwahi kusema kwa mujibu wa utafiti Tanzania ina watu wenye fikra makini kuliko nchi zote za Afrika. Nawaomba na nawasihi sana ndugu zangu tujiamini na tutashinda mapambano yoyote yatakayokuja mbele yetu.
Umeogopa nini kuchukua fomu ya urais? au vitisho vya yule nanii? na akisema atakayempinga mbunge wa hilo jimbo lako naye atananii je utajitoa kama shibunanii?
Zitto anapaswa kuwekwa kitimoto yeye mwenyewe kwanza kwa utumbo aliousema kuhusu dowans nk. hawezi kuwa muamuzi hata wa kukagua nyumba ya katibu kata tukamuamini, ni mganga njaa na juha asiye na dira wala mwelekeo.
Jina: Zitto Kabwe
Jimbo: Kigoma
Sababu: Amedhihirisha udhaifu mkubwa kwenye kutoa maamuzi makini, ni mpiga soga asiye na nidhamu na hafai kuitwa kiongozi kwa tabia yake chafu ya uhuni ikiwa pamoja na kufikia kumvisha mbwa bendera ya CCM kule Tarime na kuchoma moto bendera kadhaa za CCM hukohuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.