Naomba kujua kwa anaefahamu Mradi ule mkubwa wa reli kutoka Mtwara kuelekea nchi jirani kupitia Songea, Njombe nk ulifia wapi?
Au umehamishiwa standard geji?
Soma mwenyewe uone.
Copy & Paste
MH MBUNGE WA WILAYA YA NACHINGWEA
Wakati uku kwetu maili sita watu wanaiba hata sabuni chooni kutokana na hali ngumu, uko ikungu baadhi ya watu walio lipwa Wana lalamika, kwani mtu amepima kilo 900 kwenye cheti kimoja atalipwa kilo mia 200 na zilizo baki hajui...
Hali ni mbaya. Wakati Malipo ya korosho hakuna kinachoeleweka mpaka sasa viongozi wa vyama vya ushirika wanapigwa ili wataje majina ya Kangomba. Wanakamatwa, wanafungwa kisha wanapigwa na wanapewa vikaratasi ili kila kiongozi analazimishwa aandike majina matano au zaidi ya kangomba.kwasasa sio...
Natamani ungemwambia huwezi kubariki maji ya Mto kwa sababu ukibariki hapo ulipo yanaondoka yaani mpaka unapokuja kumchovya mbatizwaji yale maji uliyoyabariki yanakuwa yameshaondoka.
Wakati Bongomovies munapiga dili CCM Zari alikaa kimya akatafakari akaanzisha WHITEPART akapata kuishi. Leo hii Zari amepiga dili nanyie mukae kimya au Muanzishe GREENPART muweze kuishi.
Munatakiwa kujua kutesa kwa zamu. Kuna msimu wa maembe na maepo. Msimu wenu wa maembe uliisha sasahivi in...
Naomba msaada wa kitaalamu. Mm ni Mkulima wa Korosho huku Mtwara. Nimeuza shamba langu la Korosho kwa milioni moja na nusu (1,500,000) lengo langu ni kujenga kiwanda cha kubangua korosho ili kuunga mkono juhudi za awamu hii. Nimeona niuze shamba langu nipate mtaji wa kufungua kiwanda maana...
Hizi pesa zilizookotwa Airport zitumike kutengeneza katiba mpya. Walisema hawana pesa lakini Mungu katuona kadondosha zigo la pesa ambazo zinatosha kupata katiba mpyaa na chenji ikabaki.
Lile bunge ni wakati wa kurusha live maana pesa zimepatina.
Zile 50ml kila kijiji pesa ndo hizo.
Hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.