kweli elimu haijawakomboa wanaojiita VIJANA WASOMI WA VYUO VIKUU MKOA WA DODOMA,
kwa kutoa maaumuzi kwa kufuata mkumbo kwa woga na hofu, kama uliwachagua wabunge wa chadema amini kuwa wanachofanya ni haki na ni jambo la busara, kwani hawamtambui na naamini waliomchagua pia hawamtambui, huu...
kwa ujio wake wa Morogoro mjini, ni kuonyesha kuwa amesini kuwa ameshinda au ameshindwa, na kama ameshinda bac angeweza furahia ushindi, na kama ameshindwa CCM wanashindwa kushangilia ushindi sababu wawechakachua....
Ni taarifa za kusikitisha, uko morogoro vijijini jimbo la Ulanga hali si shwali, matokeo hayatangazwi hali ya uchakachuaji ndio imetawala, baada ya kuona ivo mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA Mh Prof Mlambiti awasili mjini Morogoro kuungana na familia yake baada ya kukosa tumaini ili hali...
Ni taarifa za kusikitisha, huko Morogoro vijijini jimbo la Ulanga hali si shwali, matokeo hayatangazwi hali ya uchakachuaji ndio imetawala.
Baada ya kuona hivyo mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA Mh Prof Mlambiti awasili mjini Morogoro kuungana na familia yake baada ya kukosa tumaini ili hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.