Kesho tunaomba msaada wa wanahabari, kuja kutembelea wamachinga tuliopo katika eneo la mwenge vinyago, dhumuni la kuwaita ni kutoa kero zetu na uonevu wa viongozi wa maduka ya vinyago wa kutaka kutuondoa tusifanye biashara katika eneo hilo.
Habari zenu,
Natafuta soko la kuuza mayai kienyeji, mimi ni mfugaji mdogo, kwa sasa kuku wangu wanataga mayai 8-9 kwa siku, bei yai moja ni Tsh 400.
Kwa aliyeko karibu nami naweza kumletea.
Nipo changanyikeni karibu na na chuo cha UDSM.
Simu 0652199902
Nauza kabati la kuhifadhia chipsi,jiko la mkaa,jiko la kuchomea mishkaki pamoja na makalai 2 ya kukaangia chipsi.bei jumla 580,000.mawasiliano 0685787475
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.