Inaanza H
bar za kujazana watu km nziii sizitakagi
Kuna siku nlikuwa napiga maji na jamaa yngu mmoja kijiyonyama pale sofun jamaa mwqndishi wa habari maarufu tu jina kapuni
Pale ni kama kijiwe chk
Mida ya saa sita usiku nkamwambia mbn hapa kna watu kama siwaelewielewi tuondoke,jamaa kagoma
Ile...
Kuna bar moja ilikuwa sinza jina kapuni wateja wakiwa wamejaa mmiliki wa bar alikuwa anawaitq watu wa kazi watu wanaputishwa
Pesa,mali nk
Sema hiyo bar sahv imevunjwa 😄
Ova
Ben pub bora iliondolewa
Watu wamekufa sana pale
Kwa kugongwa na magari
Watu wamekabwq sana
Maana ile Ben pub watoto wahuni wengi kutoka msisiri wanajaa pale
Mabaunsa sjui walinzi nao mule walikuwa weziii
Hiuu bondia dula mbabe si alikuwa mlinzi pale
Ova
Humu wanaokupuuzaga na kukidhihaki huwa nawashangaaga sana
Ila wajanja na wale wanaojua kungamua mambo ahh tunakusoma na kukielewa sana
Alafu genta sahv usiwaamshe waliyolala
We waache na ubishi wao tu
Ova
Sehemu zikijaa mabar pub hapafai,sinza kwenyewe sy sehemu ya kuishi na familia
Sahv tabata napo panakuwa kwa ovyo...
Sinza bar iliyovuma sana zamani ilikuwa mwika mpwaaa,hapo tumepiga sana ulabu
Alafu bar za zamani tofauti na sahv mpwaa zamani bar watu wanakutana wanaongea mioango tu,siku mabar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.