Ubungoubungo,
Post yako ni nzuri na wala usinielewe vibaya kuwa nawashawishi watu wasiende kupiga kura. Najizungumzia mimi mwenyewe. Ila ikitokea DR. SLAA akipitishwa na chama chake kuwa mgombea Urais, msimamo wangu unaweza kubadilika.
Ushauri wako ni mzuri. Lakini haya mambo yasiyofaa tutaendelea nayo mpaka lini? Naomba pia tumsome Tripo9 hapo juu.
Pia naomba tujiulize wale watu ambao tunajiita wasomi wa nchi hii kwa nini hatujitokezi waziwazi na kuvisaidia vyama vya upinzani kuwa imara zaidi ili kuleta ushindani thabiti na...
Wakuu,
Kama hali ya mambo itaendelea kuwa mbaya zaidi sitegemei kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Pamoja na hali ya mambo kuendelea kuwa mbaya, Jambo pekee ambalo litanishawishi nipige kura ni iwapo tu wahusika halisi wa KAGODA watafikishwa mahakamani kabla ya mwaka huu wa fedha...
Kama ingekuwa kila HIT ni mtu mmoja, kwa mwaka JF inatembelewa na zaidi ya nusu ya wakazi wa bara la Afrika. Kwa upande mwingine ndani ya miaka 12 kuanzia mwaka huu idadi ya HITS itakuwa zaidi ya bilioni 6.48 ambayo ni zaidi ya wakazi wa dunia yetu kwa sasa.
Bahati mbaya sana viongozi wetu hawalioni hilo. Tutaendelea kuwa nyuma kila wakati. Kama televisheni zinadaiwa kuwaharibu vijana wetu katika bara letu la Afrika, ni muhimu basi tukazitumia televisheni hizo kuwajenga vijana wetu kimaadili na kielimu. Hivi ni lini mimi na waafrika wenzangu...
Kwa miaka mingi sasa nimekuwa nikiwaza sana ni kwa jinsi gani tunaweza kuliunganisha bara letu la Afrika kwa gharama nafuu kabisa ukilinganisha na faida na kuweza kuwa na fursa ya kuweza kuona na kujua kila siku nini kinafanyika katika nchi zetu.
Tunaweza kweli kuungana kisiasa lakini bila ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.