Kaka Kuna ku-SUSPEND (SUSPENSION) na TERMINATE (TERMINATION). afadhali ya suspension maana yake inakua ni temporary ila TERMINATION maana yake ni permanent hiyo ndo bai bai.
Mkuu nitafutie Gaming laptop au best rendering laptop kwa bei ndogo, hadi niipate inikost 400,000 pekee. Yani kwa bei hiyo ukijumlisha na tax kila kitu.
Ameacha kazi eatv, so tutarajie lolote popote kuanzia sasa. Za chini ya kapeti zinasema eti jamaa aliomba uongozi wamuongezee salary uongozi ukakataa jamaa akaamua kuchukua hamsini zake.
Pole mkuu. Kuna uzi humu watu wametiririka mengi kuhusu kuvamiwa na majambazi i hope mods wataihamishia hii kule iwe rahisi kusoma visa vyote vya majambazi
Vipi ulitabiri simu za kichina kufungwa? Vipi zilifungwa hazikufungwa? Je, ulitabiri kuzimwa kwa analog kupisha digital? Je analog ilizimwa haikuzimwa? Haya ndo mabadiliko yenyewe sasa hatuwezi kurudi nyuma, hatuwezi kuishi kizamani lazima mfumo ubadilike hata kama tumechelewa kufanya maamuzi.
Wenzetu wanazitendea haki 5Ws + H. Sisi story zetu hazibalance kabisa wengi wao hawana hata diploma ya uandishi wa habari. Ndo faida ya kupeana kazi kwa kujuana.
Ila vyombo vyetu vya habari vinanichosha kwenye breaking news tu. Utakuta tukio liko dar alafu aljazeera ambao wako middle east huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.