eeh bidada polepole,c unajua tena c wote wanaoweza kupata jibu la kufanya mpaka ashauriwe,cha mcngi amsafishe mwenyewe na parfurm juu!!,shoga fanya hv,tafuta siku spesho kwa ajil yenu na ujipange sawasawa..!!.mfanyie kama suprise c unajua mwanamke utundu!.tengeneza maeneo fresh,umtengeneze na...
ah,haya bhana nimekuelewa,pole ya mama,maumivu yake nayajua kwan hata mama angu nae tayar keshatangulia lakn ndo njia hyo hyo moja tutapita wote!!..huyo sio rafiki lakn ucwake kwanza amalize kazi yako,other time ukisafiri unaniachia mimi funguo,ntaku2nzia!
ni sawa!!.ina maana hapo karibu huna ndugu?!,watu wengne sio,hlf nimeshangaa kumruhusu mpnz wako atolewe na rafk cjui,aisee hapana hata kama ndo imani,.hapo imezidi mkaka.
dah,kwanza pole mkaka!!..pili nataka nikuulize swali,huo ufunguo wa nyumba na gari kwann usingemuachia huyo binti?!,au umwamini?!,pia imani ya dini ya mtu anayokuonyesha isikufanye ukamwamin kupindukia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.