Ukifanya kazi mwez mzima bila kutega wala kuumwa na kupokea simu 180nakuendelea kwa siku na bila kuwa na warnings na talk time iwe 2:30dk bac utajikuta unafikisha laki nne kasoro lakin ukiumwa siku moja tu jua unafikisha 3kasoro nimeacha kaz mwez ulipita full kugandamizwa
Unaonekana una wivu wa kijinga kuna kuajiriwa na kujiajiri na ndo mana zikawepo kumpuni na mashirika ili watu wafanye kaz na yy kachagua kuajiriwa.... Ukumbuke kujiajiri hakutokei tu km huna mtaji... Kuwa na u shauri mzur km huwez kaa kimya sio kuleta wivu wa kishamba
ukisema katoka nje ya ndoa unakosea sana kwan gadner hana uwezo wa kuzaa mbona ye anae mtoto wa mkewe wa kwanza,hakuna kinachoshindikana chini ya jua wewe hata kwa uchawi
yani hapo ni kwamba mungu kawaonyesha jinsi gani wanavyopendana na jinsi gani mungu kaukubali uhusiano wao,kwahiyo they have to sit down nawapange mipango ya ndoa.
kwa hali kama hyi siwez msaliti as nakuwa nimeapa kwa mungu kuishi na kwa shida na raha bt namimi nitamsaliti pale tu nikijua nae kanisaliti au kaniletea za kuleta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.