Wanigeria jokes zao kwanza ni so straight, Trevor Noah kama hujui jokes ndo utaishia kuwaangalia hao kina Sabinus....T. Noah ni level ya kina Kelvin Halt...Huyo Sabinus hamfikii hata Blackson
Kwanza mkuu hao Wasomali huingia hapa kimahendo, hawana documents za kuwa hapa..Na huko Zambia ni njia tuuu, wanaenda hapo South, hata Msumbiji wanapitia wengi mno, hawaitwi Wasomali, wanaitwa Wachezaji....
I see mkuu Paw Mr Ndeha kafariki? Dah, mie ntamkumbuka sana maana yeye ndo aliyenambia siku ya kwanza kabisa Jiteute, alikuwa anaita majina na kutwambia wewe mkondo gani...Alipoita jina langu akaniangaliaaaaa then akaniambia wewe subiri tuongee kidogo...mama yangu joto lilianza kunitoka, lakini...
Nakwambia..wewe ngoja tuipe miaka 10 mbele maana ni mkoa mchanga kwa sasa, najua in 20 years utakuwa moja ya mikoa tough Tanzania, tutampita Shinyanga kama kasimama vile...
HAhaha mie home ni Bariadi na sisiti kuitaja, na naipenda kinoma...Nilitoka kama wengine watokavyo, just to find life or in other means education au wengine husema kwenda kuongeza possibilities...
Hahah we all Simiyu's proud of ourselves man...Usicheze na Watambi wewe, bashosha mang'ombe si mchezo....ujue mkuu hili la bagalu na bagika is one example of ushindani? Mchaga anajua kabisa mziki wa Mnyantuzu, kuna rafiki yangu mmoja mchaga alinambiaga ujue katika watu naowaheshimu ni...
@W.J. Malecela, lakini kwa Mgeja mie sioni geni maana is kind of person you can't expect something from his mouth....Lowasa pia huenda nae katanguliza Whistle blower lkn wapiga ngoma wako nyuma, Sijui siasa za Guninita anyway, lkn siasa za Tanzania nyingi ni ukiwa nazo tu, you know what...
Hahah muuza ubuyu mie mhango pale (Mbiti), Cheyo namba nyingine ile, lile jamaa mpaka lenyewe litoke tu, Wana Simiyu ndo wanamageuzi ya kweli, mkuu, mbina vipi na liding'ha lya 30? Wakati mageuzi yanaanza hata walingi waliimba sana, kina Nindwa, chulichuli, na mimi mwenyewe (Magulumangu), hivi...
Mkisi alikuwa brothermen wa kufa mtu, alikuja akiwa na nyota mbili, akapewa civics form three dah tuliandika maumivu jamani, yaani kila saa misifa tuuu, alikuwa na sister ake hivi sasa ukatae adhabu ya sister ake, Lilikuwa linasema tu Afande waleo jasho hao, kiama mtakiona...
jiteute member...
W. J. Malecela Mkuu uchambuzi mbona nusu nusu? Sijaona John Malecela, sijaona Kingunge, na wengine wengi tu ambao wametoa matamko yao..kwani kama wewe msomi unaangalia upande mmoja tuuu wanaomsapoti Lowasa vipi wasiomsapoti nao?
Mie sitamsahau Njenje, Bwenge na Tall, Kule loliondo na maeneo ya Chapati za kuona side ya pili (zilivyokuwa nyepesi) na chai ya rangi maziwa....Hapo mkuu wetu Massawe usichezee mkuu jitegemee secondary school I love you...hahahahahah
makoye78 pamoja kwa sana tuu...Ila kusema ukweli Bariadi ndo ina historia kubwa ya MAGEUZI wengine wanajaribu tuu, Kama watu watakumbuka hata kipindi cha Mkapa alisema kabisa ingawa sina source kuwa akipita Mbunge yeyote toka CCM Bariadi anapewa Uwaziri na ikatimia alipopita Chenge na kupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.