Sina hakika lakini kwa nijuavyo mimi wateule wa viti maalumu kwa vyama vyote na kwakila mkoa tayari ulisha fanyika,labda kwakua majina bado hayajapelekwa tume wanaweza kufanya hivyo ila busara itumike ili amani itawale ndani ya chama kwa wateule ndani ya chama chao
kama huyo tb joshua nimganga wa kienyeji yani muabudu mizimu anaweza kubadilisha kile alichokisema awali kama nikweli aliwahi kusema juu ya lowasa,lakini kama nimtumishi wa mungu hakuna kitakacho badilika kwakua anacho kitaka mungu hakibadiliki,
Shigongo Dhambi ulio itenda mungu hata kusamehe wala wanaccm wenye akili timamu hawata kusamehe na watz kwaujumla.ila kwatabia ya lowasa atakusamehe bure na kwahili umemuongezea kura kutoka kwetu wana ccm,
Hivi ccm sindio tulikua haturuhusu wagombea wa urais kushiriki midahalo?mwaka 2005 kama Sijasahau mkamtuma dr ngasongwa badala ya mgombea.Yani ukawa mkimpeleka mgombea wenu ntawashangaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.