Search results

  1. The master

    Tumikia ufalme wa nuru / Tumikia Ufalme wa Giza

    Hapa sina imani hiyo it depends na jinsi unavyoamini wewe. Imani ni kitu kingine kabisa na jina la yesu ni njia tu ambayo mtu anaweza kutumia njia nyingine na akafanikiwa kutimiza imani yake. Sio lazima jina la yesu.
  2. The master

    Tumikia ufalme wa nuru / Tumikia Ufalme wa Giza

    Huu uzi ni mkali sana ila haupati watu wa kuuchangia. Labda uwatag baadhi ya watu wataalamu wa mambo ya kiroho zaidi ili tupate elimu.
  3. The master

    Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

    Sijapenda lugha yako ungetumia tafsida. Ningekuwa mod ningekufungia kwanza.
  4. The master

    Ulipata kujiuliza Unabii katika Mathayo 24:14 utatimizwaje?

    Hangaikeni na kitabu chenu kwanza(biblia) mchambue mapungufu mengi na mrekebisho yanayofanywa kila siku kupotosha watu wasijue ukweli. Qurani ni kitu kingine huwezi kukielewa kitabu cha Mola mtukufu kwa unavyotaka wewe. Halafu ungebaki na hoja zako tukaja kuchambua hoja kuliko kuingiza hoja...
  5. The master

    What drives you?

    Sisi binadamu tunaishi ndani ya mfumo wa mbio za mbwa hata tukiyafika hayo tunayoyaona ni muhimu si lolote si chochote, unakuwa na hamu ya kuyafikia kama ikiwa bado hujayapata tu ukifika na kuyaona kwa macho na kuyagusa kwa mikono utagundua ulichokua ukidhani ni mfupa mnono ni plastic halina...
  6. The master

    Ulishawahi kukutana na mtu mwenye ugonjwa wa Low Latent Inhibition: Fahamu ugonjwa wa Low latent inhibition

    This is what makes great thinker na hii forum jamii intelligent is the best of all. Kuna wakati wanaingilia watu wasiofikiri wala kuleta fact zaidi ya ubishi tu wa kifikra usiokuwa na evidence yoyote. Ningekuwa admin ningeweka rules za kuingia jamii intelligent wawe wanaingia watu magreat...
  7. The master

    Ukichukua mzunguko wa duara lolote ukagawa kwa Kipenyo chake; unapata ratio Pi ambayo ni 3.14....

    Duh umenichanganya kidogo hebu niambie hiyo robo katika mwaka 1 inapatikanaje??
  8. The master

    Hadithi Ya Wafungwa kwenye Pango (Fumbo la Maisha)

    Bonge la myth la kufikirisha. Kweli katika dunia yetu tunafungwa na mengi and sometimes we think that we know almost everything kumbe bado tuko pangoni na hatujui lolote. Wanapokuja waliojua kutuzidi tunawaona wamepotoka na kuchukulia mitazamo yao ni uongo ila tunachkijua sisi ndio ukweli...
  9. The master

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mwengine hawezi ishi peke yake
  10. The master

    Alama/ logo ya Nyoka katika fimbo kwenye mambo ya afya ina maana gani?

    Habari zenu wana jamii. BADO NATAFAKARI SANA HIZI LOGO.. Kuna Siri gani Kwanini Taasisi za Afya Sehemu Nyingi Duniani hutumia Logo zenye MAJOKA na Namna Kama BAKORA hivi ama tuseme FIMBO??? Yaani Kwenye Mambo ya Afya Zetu tunajiwekea Na MAJOKA?...Nani ana Uelewa wa Jambo hili Atupe Elimu...
  11. The master

    I was in the Illuminati, I’m going to tell you everything, shocking expose

    It is like conspiracies lakin labda kuna ukweli ndani yake. Ila inavyooneka huyu jamaa kabuni baadhi ya mambo ili stoty yake ikubalike kwa watu. Lets make follow-up then tutajua lengo lake nini. Kwanza analazimisha watu wasome page yake kwa wingi ndo apost
  12. The master

    Hidden History: Baada ya Musa kukimbia Misri, aliishi kwanza Afrika akawa Mfalme kwa miaka 40.

    Akili za utumwa nazo ni shida tu. Hao waliowatungia hivyo vitabu wako bize kugundua Advanced technologies nyinyi mmekazana na mihadhara, ubishi, kutoka mishipa tu pimbi kabisa hili ngozi JEUSI.Umaskin shida sana Sio tatizo lako bali ni ujinga wako. Bakia hivyo hivyo kisha tuone wewe utavumbua...
  13. The master

    Je, ni kweli binadamu tunatumia asilimia 10 ya uwezo wa ubongo, na nini kitatokea kama tutatumia asilimia 100 ya uwezo huo?

    Labda baadhi hamjaelewa uzi unazungumzia 10% ya ubongo katika nyanja gani. Au mimi ndo nitakuwa sijaelewa. My take ni kwamba katika ubongo kuna part mbili kuu ambazo zinafanya kazi. Moja ni ile ambayo inajitawala yenyewe kwa maana ya kusimamia body systems ambazo huwezi kuzicontrol yan matendo...
  14. The master

    Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

    According to the bible, qur-an and hadith za mtume(s.a.w) there will come a time when religion and its books will perish and by that time there will be no hope in the world. Sins will no longer be forgiven. What will remain is the story of religion and people who belived in it. And that will...
  15. The master

    Faida za Majina ya Mungu yaliyotumika kuumba na kauli zenye nguvu na Maajabu yake ya hali ya juu

    Rakims nitakuja kwenye blog yako ili niyapate. Kama utayaweka huko. Ila kwa kuwa umeamua kuanzisha huu uzi ungeyaweka tuu. Maana ni wachache watakaopata faida usipoyaweka ndugu.
  16. The master

    Faida za Majina ya Mungu yaliyotumika kuumba na kauli zenye nguvu na Maajabu yake ya hali ya juu

    Asalaamu Alaykum. Mkuu Rakims nitapataje hayo majina maana nimefuatilia naona umesema hutayaweka hadharani.
  17. The master

    UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

    Write your reply.. Tatizo la wengi humu ni uwezo mdogo wa kufikiri. Hebu jaribu kujiuliza kwanini mtu mwenye kifafa au mataahira wanazidi hasa kipindi cha mwezi mpevu? Ukijiuliza hayo utagundua kuwa kweli kuna namna fulani tunabe controlled na mizunguko ya sayari na mwezi.
  18. The master

    Yajue yote kuhusu mradi wa Blue Beam

    Dah!!!!! Mkuu umenigusa sana. Kuna wakati mwaka 2012 niliwahi kusoma habari za beam project nikashtuka sana. Ilinibidi niingie kwenye vitabu vya dini kuchimba sana mambo haya. Kiukweli jamaa wanazingatia sana utabiri uliotolewa kwenye biblia na wako makini sana ili kusitokee makosa. Lengo lao...
  19. The master

    Insane coincidence: Futility and Titanic

    Tukio la titanic lina sura mbili tofauti na zote zinaweza kuwa sahihi. Kwa upande wa maono ya kiroho inawezekana sana maana kuna watu wana uwezo wa kuona jambo litakalotoke miaka michache ijayo na likawa kweli (means likatokea kama alivyoona au kuota). mifano ya watu wa namna hiyo ipo kama...
  20. The master

    Zifahamu siri 7 zilizofichika kuhusu sikukuu ya Pasaka

    Kwa kuongezea ndugu yangu nashukuru unakiri kuwa walioandika ni watu tofauti. Tatizo ni baadhi ya wakristo kuamini kuwa walioandika waliongozwa na roho mtakatifu kitu ambacho si kweli. Roho mtakatifu anaujua ukweli wote hawezi kukosea idadi ya watu au asijue jina la mtu. So hizo ni hadithi za...
Back
Top Bottom